Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIA
Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta
Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa na Kenan Kihongosi wa UVCCM Iringa
Aidha, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. Maulid Madeni na kumteua Dkt. John Pima kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri
#JFLeo #Magufuli
Soma pia:
1) Arusha: RC Gambo aibua sintofahamu Soko la Samunge, abeza taarifa ya DC na Mkurugenzi
2) Nini tatizo la RC Mrisho Gambo na wasaidizi wake?
3) Ugomvi baina ya RC Gambo na Mkurugenzi wa Jiji Arusha lashika kasi
4) RC Gambo aumbuka vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “
5) Kauli yake baada ya kilichotokea hapo #4: Mrisho Gambo: UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao wakizeeka watakuwa Wachawi!
6) Ntibenda: Kama kuondolewa kwangu kama RC Arusha kuna mkono wa mtu; Mungu atalipa
7) Oktoba 2016 iliwahi kuandikwa: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, akanusha uvumi wa kutenguliwa kwa Gambo
Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta
Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa na Kenan Kihongosi wa UVCCM Iringa
Aidha, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. Maulid Madeni na kumteua Dkt. John Pima kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri
#JFLeo #Magufuli
Soma pia:
1) Arusha: RC Gambo aibua sintofahamu Soko la Samunge, abeza taarifa ya DC na Mkurugenzi
2) Nini tatizo la RC Mrisho Gambo na wasaidizi wake?
3) Ugomvi baina ya RC Gambo na Mkurugenzi wa Jiji Arusha lashika kasi
4) RC Gambo aumbuka vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “
5) Kauli yake baada ya kilichotokea hapo #4: Mrisho Gambo: UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao wakizeeka watakuwa Wachawi!
6) Ntibenda: Kama kuondolewa kwangu kama RC Arusha kuna mkono wa mtu; Mungu atalipa
7) Oktoba 2016 iliwahi kuandikwa: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, akanusha uvumi wa kutenguliwa kwa Gambo