Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio,Habari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunaaubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Asantendio,
ateuliwe tu maana hakuna namna ingine
SABAYA au HAPI hiyo nafasi ni ya mmoja wao JESHI la MAOVU la Mwendazake linarudi KAMANDA MKUU BASHITE tayari karudiHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Tanzania tupo 60M kwanini wajirudie hao hao tu.SABAYA au HAPI hiyo nafasi ni ya mmoja wao JESHI la MAOVU la Mwendazake linarudi KAMANDA MKUU BASHITE tayari karudi
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wewe endelea na Kilimo cha miwa KilosaTanzania tupo 60M kwanini wajirudie hao hao tu.
SABAYA au HAPI hiyo nafasi ni ya mmoja wao JESHI la MAOVU la Mwendazake linarudi KAMANDA MKUU BASHITE tayari karudi
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Utakufa kabisa mwaka huu,achana na Makonda kijana ,utaugua madonda ya tumbo bure tuSABAYA au HAPI hiyo nafasi ni ya mmoja wao JESHI la MAOVU la Mwendazake linarudi KAMANDA MKUU BASHITE tayari karudi
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kwakuwa wao Wana roho ngumu sana Kwa kazi MAALUMUTanzania tupo 60M kwanini wajirudie hao hao tu.
Halafu gambo unakuwaga na mambo ya kitoto sana, sasa watu wa huko Arusha watafaidika na nini ww ukiwa naibu waziri? Unajipigia promo za kipuuzi tu.Habari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Punguza shoboTanzania tupo 60M kwanini wajirudie hao hao tu.
Maza afanye reshuffle...Manyara Kuna kijana msomi eng Hhayuma (mb) Hanang apewe unaibu ujenzi Sheria apewe mwingineHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Ateuliwe tu kwani CCM yamebaki manyangarakasha yanayojua kubwabwaja tu, wanasiasa walikwisha.Habari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul