Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sii jambo la kushangaza hata Saambaya angefiti tu.Habari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Ateuliwe TABASAM mbunge wa sengeremaHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Halafu Wala hafai, ngoja nisiongee sanaHalafu gambo unakuwaga na mambo ya kitoto sana, sasa watu wa huko Arusha watafaidika na nini ww ukiwa naibu waziri? Unajipigia promo za kipuuzi tu.
hata akiteuliwa kuwa Rais sawa tuHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Nateuliwa mimi! MsihangaikeHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul
Madaraka nchi hii hugawanywa kwa misingi ya dini,ukandaWishful thinking
Mheshimiwa ana haki ya kikatiba kuteuliwaMadaraka nchi hii hugawanywa kwa misingi ya dini,ukanda
Yaani Kanda zote sharti zipate mawaziri/Waziri,Kama hiyo nafasi ni ya kaskazini basi rahisi Sana kwa gambo kuipataMheshimiwa ana haki ya kikatiba kuteuliwa
Madaraka nchi hii hugawanywa kwa misingi ya dini,ukanda
Dini inamata mzee,Baraza haliwezi kuwa lote la dini moja,huyo rais atapata tabu toka kwa deep state Hadi mitaani,rais akiwa mzanzibar,makamu sharti awe mbara na mkiristoDini sidhani, ukanda yawezekana
Ila Bashite ni laana tuliyopewa kama TaifaUtakufa kabisa mwaka huu,achana na Makonda kijana ,utaugua madonda ya tumbo bure tu
Dini gani?Maza afanye reshuffle...Manyara Kuna kijana msomi eng Hhayuma (mb) Hanang apewe unaibu ujenzi Sheria apewe mwingine
Ndo ushamharibiaHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul.
Cc. Mbunge Mstaafu,
Habari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul.
Cc. Mbunge Mstaafu,
Mnaanza kujipigia debeHabari njema Kwa wana-Arusha Mjini. Tunasubiria PDF ya Uteuzi wa Mheshimiwa Mbunge kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dr Gekul.
Cc. Mbunge Mstaafu,