Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
CCM ni Makini swala la umeme lisiwe rungu Kwa wazee ya "baya moja"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kosa kubwa kwa mwanasisiemu kuweka unafiki kando na kusimamia ukweli. kuelekea uchaguzi wa 2025 lazima watampa onyo na vitisho juu kupitia vikao vyao vya ndani.Pongezi kwako Mtoto wa Boma Primary, Ilala kwa kulisemea hili, BARIKIWA
Labda kama ni kugombea vipisi vya bangiHivi 2025 lema atarudi Arusha kugombea tena kweli?
Kusifia sana sio tu kunadumaza akili, kuna fanya taifa zima lionekane la mazezeta wasiojua kusoma nyakati.Naona mmoja mmoja wanaanza kuamka sasa, wale kina Kigwangala na Lusinde iko siku wataona aibu tu, Rais lazima aambiwe ukweli ili kumuamsha ajue changamoto zilizo mbele yake na namna ya kuzikabili, kusifia sana kunadumaza akili.
Kwa namna Gambo alivyoongea na jinsi alivyoshangiliwa na wananchi wengi kwa sauti kubwa hivyo, naamini huu ni wakati mzuri kwa Samia kujiuliza kama kweli anaona Makamba bado anafaa kwenye hiyo wizara.
Mbunge wa arusha mjini ameshangiliwa na wananchi kwenye mkutano wa samia kuliko samia mwenyewe. Shaka umejifunza jini?
Huko anamuavha na nan mr?Hivi 2025 lema atarudi Arusha kugombea tena kweli?