Mrisho Gambo: Mheshimiwa Rais, kukatika umeme ni changamoto kubwa sana

CCM ni Makini swala la umeme lisiwe rungu Kwa wazee ya "baya moja"
 
Pongezi kwako Mtoto wa Boma Primary, Ilala kwa kulisemea hili, BARIKIWA
ni kosa kubwa kwa mwanasisiemu kuweka unafiki kando na kusimamia ukweli. kuelekea uchaguzi wa 2025 lazima watampa onyo na vitisho juu kupitia vikao vyao vya ndani.
 
Kusifia sana sio tu kunadumaza akili, kuna fanya taifa zima lionekane la mazezeta wasiojua kusoma nyakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…