Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!

Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.

Chanzo: Global TV

My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Huyo jamaa anaweweseka.
Kama alitenda maovu akiwa madarakani its payback time.

Salama ya mwanasiasa yeyote ni watu wake na wala si akili zake mwenyewe.

Kama watu wake aliwafanyia ubaya, na mengine sasa anakiri humu mitandaoni, what goes around comes around.

Wakati mwingine wala hakuna risasi au kitu chochote, anaweza tu kuanguka na pressure.
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Tembo au jimbo anatakiwa nani?
 
Chacha Wangwe
Hivi, huu ukivuruge wako utaacha lini wewe kubwa jinga?
Shida yako nchi ivurugike na tuanze kutoana roho sisi kwa sisi ndio uridhike?
Ishu ya wangwe Kama una ushahidi zaidi ya uliotolewa mahakamani fungua kesi upya ili uziponye nafsi za wafiwa.
Ni Kama ccm mna kundi la kuanzisha Vita ili vikikolea mjitokeze kuwalaumu wengine! Binafsi nimekushtukia ndugu project manager!
 
Back
Top Bottom