Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Uko sahihi kabisa, wakati wa Magufuli, Gambo alitumia madaraka yake kupora fedha za watu, na aliendesha vitisho kwa watu hasa waliokuwa hawamsujudii rais na wafanyabishara. Amejipatia mali nyingi ya dhuluma. Hapo alipo wanaomsaka ni aliowafanyia dhuluma, japo anataka kujifichia kwenye siasa.

Hakuna mwenye tatizo naye kama mwanasiasa, bali watu wanamatatizo naye kama dhulumati. Ana majumba ya kifahari hapo Arusha ambayo hayaendani ni vipato vyake halali toka aanze kazi.
Tulikuwa na Rais wa ajabu sana. Sijui kama Mungu asingeingilia kati pale 17/ 03/ 21 Tanzania ingekuwa nchi ya aina gani. Yaani watendaji wa Rais ndiyo majambazi! Aibu sana

Bado wajinga wanamuita Magufuli shujaa wa Afrika
 
Aache ujinga. Wasiojulikana hawapo tena baada ya muasisi na mfadhili wa wasiojulikana "mtu mbaya kufariki" .

Viranja wa wasiojulikana walikuwa ni Sabaya (yuko ndani) pamoja na Makonda (yuko Kolomije)..

Na yeye mwenyewe Gambo
 
Gambo anawindwa na nani?
Eti na wachagga!
giphy.gif
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa

Pumbavu kabisaa,badala ya kuongea issue za maana za jiji la Arusha yeye anazungumzia kuwindwa!?anawindwa na nani!? Jiji halina stand kuu ya mabasi,jiji halina soko kuu la maana…barabara ya kuanzia hapo posta/tanga general mpaka mbauda/kona ya morombo ingejengwa double kupunguza foleni.

Hayo makaburi juu ya stand kuu yange hamishwa na jiji kujenga majengo makubwa ya uwekezaji wa biashara kama Mall hv….
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa

Sasa hawa wasiojulikana watakuwa wanatumwa na sidiemu eti?.maana haiwezi kuwa wanatoka ndani ya serikali ya sisiemu
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Mh kwa impact ipi labda aliyonayo!!
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Hilo genge la kijani na njano shida tupu.
 
Back
Top Bottom