johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hapo ndio tukubaliane kwamba nchi hii hakuna wapinzaniMafisadi ni watu wa hovyo sana lakini wanashangiliwa na chadema.
Aache ujinga. Wasiojulikana hawapo tena baada ya muasisi na mfadhili wa wasiojulikana "mtu mbaya kufariki" .Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona
Rais ametoka ccm, Waziri mkuu ametoka ccm, Spika ametoka ccm, bunge 99% ccm, tokea uhuru almost miaka 60 ccm yupo madarakani Ila lawama anapewa chadema, aliyewaloga wa Tanzania ni kibokoMafisadi ni watu wa hovyo sana lakini wanashangiliwa na chadema.
Chacha WangweAache ujinga. Wasiojulikana hawapo tena baada ya 'mtu mbaya kufariki" walikuwa anaongozwa na Sabaya (yuko ndani) pamoja na Makonda (yuko Kolomije)..
Anatafuta umaarufu mjinga huyu. Wasiojulikana walianzishwa na walikuwa wanafadhiliwa na "mtu mbaya". Alipofariki tu wakakufilia mbali.Watu wasio julikana yeye kajuaje kua wapo na wanamuwinda heb asituchanganyie habari
Huyo jamaa anaweweseka.Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Tembo au jimbo anatakiwa nani?Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Sasa mbona Wakimbizi wa Chadema wamegoma kurudi na nauli wamepewa na CCM?Anatafuta umaarufu mjinga huyu. Wasiojulikana walianzishwa na walikuwa wanafadhiliwa na "mtu mbaya". Alipofariki tu wakakufilia mbali.
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Amejuaje kama hawajulikani, basi ni mashetaniMbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Hivi, huu ukivuruge wako utaacha lini wewe kubwa jinga?Chacha Wangwe