Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Hakika
Aache ujinga. Wasiojulikana hawapo tena baada ya muasisi na mfadhili wa wasiojulikana "mtu mbaya kufariki" .

Viranja wa wasiojulikana walikuwa ni Sabaya (yuko ndani) pamoja na Makonda (yuko Kolomije)..
 
What goes around comes around. Law of the Universe !!
 
Hahaha.......hawajambo huko migombani kwa Dereva!
 

Lema ana bahati angekuwepo hapa nchini wangesema ji yeye
 
Kwa hiyo mama ni mnyonge?
 
Wameanza kupigana risasi wenyewe?

Na sasa mbona anawapatia wabaya wake "location"🤣🤣
 
Wacha watafutane tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…