Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!

Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.

Chanzo: Global TV

My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
Mwasisi wa huu ujinga ni yeye mwenyewe
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!

Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.

Chanzo: Global TV

My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
Anatafuta huruma huyu, enzi zake si alijifanya mbabe. Au anasikilizia pdf.
 
Laana inawamaliza kabla ya 2025, huku uraiani sara ni nyingi mno mkiziepa mkatambike
 
gambo naona kivuli cha ukatili, unyanyasaji, ujambazi, uuaji mliojenga wakati wa mwendazake ndio kinawaandama!
Na bado vitawaandama hadi muanze kutafunwa na ukoma hadi mfe kwa mateso mnajiona!
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!

Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.

Chanzo: Global TV

My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
Anawajua wauwaji wenzie huwa wanafanya nini..!!! Yule wa katiba mpya si ni haya haya aliyoyasema yalitokea..!!
 
Anatafutwa na nani auliwe kwa kosa gani anatafuta huruma kisiasa, Arusha mjini wananchi wake ni waelewa.
 
Kesi ya nyani unamuuliza swala.

Mliambiwa mtakulana kama nyoka na sasa yanatokea
Kama hivi kudadadeq
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!

Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.

Chanzo: Global TV

My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
Atulie tu kama wamebeba na lotion ni utaratib tu wa kuepuka friction!!
 
Back
Top Bottom