Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Hata Polepole alikuta rundo la vilainishi alipovamiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Two wrongs dont make it a right.Mbona yeye anasema million 800 zimeliwa za kwenye halmashauri yake walizotakiwa wapewe vikundi vya wajasiria Mali.
Mwasisi wa huu ujinga ni yeye mwenyeweMbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!
Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.
Chanzo: Global TV
My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
Gambo ni tapeli haswaTwo wrongs dont make it a right.
Halmashauri wamepiga na yeye gambo amepiga...wote wezi.
Anatafuta huruma huyu, enzi zake si alijifanya mbabe. Au anasikilizia pdf.Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!
Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.
Chanzo: Global TV
My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
CCM wana mfumo wa hovyo sana kwenye kuendesha mambo yao!!Anatafuta huruma huyu, enzi zake si alijifanya mbabe. Au anasikilizia pdf.
Akifa tu anakuwa mtu mbaya by Marope SeniorAsihofu kama mwema hatokufa ila kama ni muovu atakufa tu.
Wewe ni bepari Mzee alikuwa ni mjamaa hutokaa humuelewe hata siku mojaHaya ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Anawajua wauwaji wenzie huwa wanafanya nini..!!! Yule wa katiba mpya si ni haya haya aliyoyasema yalitokea..!!Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!
Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.
Chanzo: Global TV
My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?
The guilty are afraidJamaa ana wasiwasi kwani amefanya nini mbaya?
Kama hivi kudadadeqKesi ya nyani unamuuliza swala.
Mliambiwa mtakulana kama nyoka na sasa yanatokea
Chakubanga naye walimla kama walivyofanya kwa MbogaHata Polepole alikuta rundo la vilainishi alipovamiwa
Mwinda amekuwa mwindwa hadi raha.Usakwe tu, si uliona raha kusaka wenzio!.
Atulie tu kama wamebeba na lotion ni utaratib tu wa kuepuka friction!!Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa.
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi!
Gambo amesema hata ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia, kama hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi.
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa wakati "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni," amesisitiza Gambo.
Chanzo: Global TV
My take: Wamsubiri getini wampige risasi ndio sijaelewa?