Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

Hahaaa!!

Ilaumiwe serikali kwa kushindwa kusimamia vizuri rasilimali zao hao watu wa Geita!!

Hivi unafahamu utajiri wa mkoa wa Geita ulioundwa juzijuzi tuu, kwenye mikoa kumi tajiri, Geita ni ya 6 na Arusha ni ya 8??

Huko kwenu Geita kwenye waaminifu na wachapa kazi mbona mmeshindwa hata kupaendeleza mpaka sasa mnakunywa maji na mifugo?
 
Mliambiwa na Kamanda Lissu kuwa mkimaliza kuwatafuna upinzani mnao dhani kuwa ni adui zenu mtageukina kuuna wenyewe hamkusikia. Dhambi ya usaliti ni mbaya sasa Sasa inawatafuna wenyewe. Jiwe alikuwa mharifu sana yule Mzee.
Ndugu yangu sema tena na tena. Na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo. Huyu jamaa mheshimiwa Godbless Lema alikuwa anapigha kelele sana kuhusu unyambisi wake lakini kwa sababu ni Chadema hawa watu wakajifanya hasikii. Sasa wanakiona cha moto. Na bado. Hawa ndiyo wakikuwa ''chawa'' wa mwendazake hawa. Hovyo kabisa. Wako wengi, kina Sabaya, Makonda, Jerry Muro, Hapi... wote hawa ni wapigaji wakubwa na wengi wameshamgeuka Magufuli utadhani hawakupata kumuona.
 
Hahaaa!!

Ilaumiwe serikali kwa kushindwa kusimamia vizuri rasilimali zao hao watu wa Geita!!

Hivi unafahamu utajiri wa mkoa wa Geita ulioundwa juzijuzi tuu, kwenye mikoa kumi tajiri, Geita ni ya 6 na Arusha ni ya 8??
Utajiri unamilikiwa na makampuni ya kizungu... ukweli ni kuwa mikoa ya kanda ya ziwa inaongoza kwa umasikini
Kama nyie ni wachapakazi na waaminifu fanyeni kazi muondoe umasikini sio kupiga domo na majungu kuhusu mikoa mingine
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
HUYO KIJANA ni wa ILALA BUNGONI DAR , kesha watapeli huko Arusha, anachofanya ni kuwavuruga tu huyo kichwani uji tupu, kichaa kabisa nyie endeleeni kumchekea.
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Unatuhumu kwa hoja za hewani...

Laiti ungekuwa unaweka na ushahidi wa namna walivyoonewa, ingeleta maana sana...

Lakini mpaka hapo unapiga mayowe tu kama mbwa koko yasiyo na ushahidi..

Mathalani kwa tukio la Pima na wenzake kusimamishwa kazi, lilikuwa televised live na kuonyesha kuwa kuna makosa ya wazi kabisa wameyafanya...

✓ Mkurugenzi na wenzake amelipa pesa kwa miradi isiyokuwepo..!

✓ Pesa ya mkandarasi x analipwa mtumishi wa halmashauri katika akaunti yake binafsi...!

✓ Mkurugenzi na mlipaji fedha wa Jiji wanasimamishwa mbele ya kadamnasi wakiwemo madiwani wawakilishi wa wananchi na kuulizwa iweje pesa ya mtu mkandarasi aliyefanya kazi ya serikali TZS 65,000,000 iingizwe kwenye akaunti ya mtu binafsi tena mtumishi wa halmashauri? Badala wajitetee kwa mantiki, wameishia kujiuma uma tu kuonyesha kuwa wamekosea na hawana la kujitetea..!!

✓ Ona hili pia. CED Pima na mlipa fedha na Afisa Mipango wa Jiji wanasimamishwa mbele ya kadamnasi, wanaulizwa mradi wa barabara wa TZS 65,000,000 uko mtaa na kata gani?

Cha ajabu anasema uongo kwa Diwani wa kata ile kukataa mbele yao kuwa hakuna mradi wa namna hiyo katani kwake...!!

Sasa hapa hata kama ungekuwa wewe ni PM, utajifunza nini? Moja kwa moja, utatambua kuwa pana upigaji, ufisadi..!!

Katika mazingira haya unapata wapi ujasiri wa kusema kuna uonevu hapo??

Umechemka..!!
 
Jikite kwenye hoja ya ufisadi wa hao uliowataja kuonewa.

Kwamba Serikali imuonee Mkurugenzi wa Jiji
la Arusha kwa sababu ya Gambo huku PM na vyombo vya uchunguzi vikubaliane nalo?!
Hivi kwa nini zile timu za uchunguzi za TAMISEMI na PPRA zimeondolewa?
 
Gambo anajulikana kihistoria kama kiongozi mpenda majungu, mpiga dili, mtumia madaraka kwa faida yake, mfujaji wa pesa za umma, msaka michango kwa watu binafsi kwa nguvu na vitisho akiwa kavaa koti la Regional Commissioner, afadhali sasa Mbunge pekee aliyekuwa katarajia uwaziri wa utalii. Tangu Korogwe vituko vyake ni vingi. Ndani ya CCM ni wazi yuko unpopular mno, amshukuru Magu aliyemuibia kura kuwa mbunge. Bahati mbaya alimponda Magu baada ya kufa ili ajifitishe kwa SSH. Ni ka mtu ka ajabu sana. Ninakumbuka alivyomtembeza marehemu mzazi wake ili kujikusanyia mapesa! PM usipoteze muda ya huyo hao wate shida ndio maana Arusha barabara ni mbovu, mitaani barabara mbovu, stendi hakuna shauri ya mivutano sijui kwa nini hamvunji baraza la madiwani. So sad!
 
Hizo kauli za we nani ni kauli za kijinga sana. We nani? Kwani nani ni nani katika dunia hii? Ni Mungu tu ndiye huwainua wanyonge na kuwaketisha na wakuu na ndiye huyo huyo anayewashusha wenye viburi. Mwisho hakuna binadamu yeyote aliye juu ya mwingine wote wana nafasi sawa ya kuwa wa maana kama walivyo na nafasi sawa ya kuwa mavumbi tu.
 
Hizo kauli za we nani ni kauli za kijinga sana. We nani? Kwani nani ni nani katika dunia hii? Ni Mungu tu ndiye huwainua wanyonge na kuwaketisha na wakuu na ndiye huyo huyo anayewashusha wenye viburi. Mwisho hakuna binadamu yeyote aliye juu ya mwingine wote wana nafasi sawa ya kuwa wa maana kama walivyo na nafasi sawa ya kuwa mavumbi tu.
Mimi ni kijumbe tuu maugomvi ya chama chawala hayanihusu
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Sioni kama kunayo sababu ama maana kuwatetea ikiwa wewe siyo mmojawapo mfaidika na pesa za umma ambazo watu walioaminiwa na kupewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameamua kujigawia wenyewe na kupeana kwenye akaunti zao binafsi.

Wewe mwenyewe mtoa mada jionee haya kwa kuwatetea wahalifu wafuja pesa za wananchi na badala yake unamlaume msamaria aliyewafichua wezi hao,kwa mtu mwenye akili tu ya kawaida hii inadhihirisha kwamba wewe ni miongoni mwa wezi hao na ndiyo maana inakuuma wezi wenzako kukurupushwa

na kama ungekuwa unafikiri vizuri pamoja na kwamba inakuuma kwa patines wako kukurupushwa basi ni bora kwa kuona haya ungekaa tu kimya
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Mtavuna mlichopanda .
 
Moja ya ukanda mgumu kabisa kufanya kazi Kwa mtu mpenda haki na mwajibikaji wa kweli, ni Kanda ya kaskazini has a Arusha!

Ukweli lazima usemwe, watu wa kule inafahamika na watu wote kwamba, ni wezi na wapenda kuiba Kwa namna yoyote ile

Kwa kuwa hali ile ipo kwenye damu zao, basi huwa wanailinda Kwa hali yoyote ile pindi onapotokea mmoja akiwakwamisha kwenye magendo yao!

Watu wa Arusha, hawapendi ukweli, wanapenda shortcut iwe kwenye biashara zao, serikalini na hata kwenye secta binafsi si waungwana hata kidogo

Inapotokea kijana mmoja akiwakinyume na wao, watadili naye Kwa kumsingizi ili tu ikiwezekana hata afie jela kama walivyomfanyia kijana yule Sabaya! Watamtengenezea maneno ya uwongo na ikiwezekana atatafutiwa mizengwe pasipo yeye kufahamu na kujikuta akiangukia police

Gambo kaamua kusema ukweli, angalia cheni inayomfuatilia!!

Taifa hili likikosa waungwana, litaangamia kabisa,

Nimehi kufanya kazi na vijana wa huko Arusha kwenye kampuni moja hivi, ile lugha ya unajituma na kujifanya msamalia mwema hii kampuni ni ya babaako??

Hiyo lugha wanayo sana wenzetu huko, Wao kwao pesa mbele kuliko wao walivyo!
Nimeishia hapo ulipoandika Sabaya. Ikatosha kunijulisha kuwa ulichoandika ni utumbo mtupu.
 
Si lazima kuangalia historia ya Gambo. Ila nahisi ana certain powers maana wote waliopambana nae walishindwa vibaya.

Na Arusha baada ya kuwa mbunge ameamua kuwasaidia wananchi na kukaata mfumo wa kifisadi ila sababu hawamuelewi hawatampa support na atapigwa vita lakini jamaa ana nyota yake hata ccm ya sasa inamkubali sana ukitoa hawa vijana wadogo wanaotoa sharubu .
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Gambo siyo kirusi mkuu! Kirusi ni yule anayetaf7na fedha za umma bila huruma. Gambo amefanya kazi vizuri tu
 
Back
Top Bottom