Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

Gambo anajulikana kihistoria kama kiongozi mpenda majungu, mpiga dili, mtumia madaraka kwa faida yake, mfujaji wa pesa za umma, msaka michango kwa watu binafsi kwa nguvu na vitisho akiwa kavaa koti la Regional Commissioner, afadhali sasa Mbunge pekee aliyekuwa katarajia uwaziri wa utalii. Tangu Korogwe vituko vyake ni vingi. Ndani ya CCM ni wazi yuko unpopular mno, amshukuru Magu aliyemuibia kura kuwa mbunge. Bahati mbaya alimponda Magu baada ya kufa ili ajifitishe kwa SSH. Ni ka mtu ka ajabu sana. Ninakumbuka alivyomtembeza marehemu mzazi wake ili kujikusanyia mapesa! PM usipoteze muda ya huyo hao wate shida ndio maana Arusha barabara ni mbovu, mitaani barabara mbovu, stendi hakuna shauri ya mivutano sijui kwa nini hamvunji baraza la madiwani. So sad!
Achana na
Kumwongelea Gambo,achana na majungu ishu hapa siyo Gambo ishu hapa ni pesa ya wananchi imetafunwa na viongozi na jaribu kidogo kuondoa chuki zako binafsi kwa gambo jikite kwenye tatizo.
 
Kam kina Pima na kanani walitafun pesa za wanna was archuga bas wadhibitiwe vikali ila gambo Sina Imani nae kbsa mm namuona Ni kiongozi mwenye roho mbaya Sana kwa ngu mm cmpend kbsa cjui kwann na kupenda kapandisha mabega

Ila John momgela Ni mshikaji wake yule anapenda viwanja Sana kila mtaa Ana kiwanja ndio asset ameamua kumiliki
 
Shida ya Pm Majaliwa huwa ana kurupuka. Ila Pima pamoja na kufanya kazi zake za serikali kama kada wa Ccm bado ni jembe.
Jembe wapi aliletwa na jpm kwa maslahi ya kikabila
 
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.

Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.

Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Jamaa anaonekana ni mchonganishi sana. Yeye na Msukuma ni style moja.
 
Sina ushahidi wa hilo lakini akiwa RC alikuwa mla rushw asn
La mkurugenzi kula rushwa hauna ushahidi nalo, ila la Gambo alipokuwa Rc kula rushwa una ushahidi nalo bila hata ya kuweka vielelezo vya msingi?

Kweli nataka niamini sasa kuwa wanaosema kufanyia kazi Arusha ni pagumu sana wanamaanisha!
 
La mkurugenzi kula rushwa hauna ushahidi nalo, ila la Gambo alipokuwa Rc kula rushwa una ushahidi nalo bila hata ya kuweka vielelezo vya msingi?

Kweli nataka niamini sasa kuwa wanaosena kufanyia kazi Arusha ni pagumu sana wanamaanisha!
Arusha siyo sehemu ya kuongozwa na watu wajinga
 
Arusha siyo sehemu ya kuongozwa na watu wajinga
Mimi sina interest yoyote ya kibinafsi na hao viongozi.

Si mwanachama wa Cdm wala Ccm, furaha yangu na ushabiki wangu huanzia pale ninapoona kiongozi yeyote anatoka hadharani na kukemea rushwa bila kujali ni wa "madhehebu" gani kisiasa!

Nimeanza kumshabikia Gambo kuanzia pale kwenye ziara ya Pm alipomnasisha Mkurugenzi mumiani kwa ulaji wake wa kichafu wa kula bila kunawa midomo na kuacha mabaki ya damdam kutamanisha mainzi.

Kwangu mimi, kiongozi anayejitokeza kukemea, kuongelea ama kukamatisha wahujumu uchumi, ndiye kiongozi mzuri na mwenye busara.

Sioni popote ujinga wa Gambo.
 
Mimi sina interest yoyote ya kibinafsi na hao viongozi.

Si mwanachama wa Cdm wala Ccm, furaha yangu na ushabiki wangu huanzia pale ninapoona kiongozi yeyote anatoka hadharani na kukemea rushwa bila kujali ni wa "madhehebu" gani kisiasa!

Nimeanza kumshabikia Gambo kuanzia pale kwenye ziara ya Pm alipomnasisha Mkurugenzi mumiani kwa ulaji wake wa kichafu wa kula bila kunawa midomo na kuacha mabaki ya damdam kutamanisha mainzi.

Kwangu mimi, kiongozi anayejitokeza kukemea, kuongelea ama kukamatisha wahujumu uchumi, ndiye kiongozi mzuri na mwenye busara.

Sioni popote ujinga wa Gambo.
Gambo ni jangili kuliko DED
 
Gambo ni jangili kuliko DED
Jamani nyie!
Tusiburuzane kuchukia watu, wewe kama unamchukia siwezi kukulazimisha umpende.

Wengine mtu huyo hatumjui, unapoongelea negatives zake tafadhali weka na evidence za madudu yake kama ambavyo yeye Gambo aliweka evidence za madudu ya Mkurugenzi akaenda na maji.

Kuongea kijumla jumla tu kwamba mtu huyo ni jangili ama ni mbaya siyo sawa, weka vithibitisho hapa.
 
Jamani nyie!
Tusiburuzane kuchukia watu, wewe kama unamchukia siwezi kukulazimisha umpende.

Wengine mtu huyo hatumjui, unapoongelea negatives zake tafadhali weka na evidence za madudu yake kama ambavyo yeye Gambo aliweka evidence za madudu ya Mkurugenzi akaenda na maji.

Kuongea kijumla jumla tu kwamba mtu huyo ni jangili ama ni mbaya siyo sawa, weka vithibitisho hapa.
Mi namjua sn
 
Back
Top Bottom