Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka aliyemzidiThis is not true
Utakua na vyeti fekiWeka aliyemzidi
Sijawahi kuomba kazi kwenye serikali yenuUtakua na vyeti feki
... imeniuma sana. Ni zaidi ya shetani; rest in hell forever. Binadamu unafikiaje kiwango hiki cha ushetani? Mungu awafute machozi wahusika.
Hayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Sijawahi kuomba kazi kwenye serikali yenu
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
Mwenzakae alifanya maamuzi kama mtu ambae hakuwahi kwenda shule.Daah, mwendazake akipiga chabo huku duniani atashangaa sana kuona kila mtu anajitenga na maamuzi yake na kumuita mkurupukaji
CCM wanaimba wimbo mpyaSiku za Mrisho Gambo ccm zinahesabika , nimeangalia mwenendo wake haufanani na mwenendo wa kinyama wa ccm
Vyeti sio taaluma, wenzetu walishatoka kwenye kuangalia vyeti.Unaunga mkono vyeti feki?
Tumshukuru Mungu kuepusha nchi na mtu ambaye hakuwa Mtanzania roho mbaya sana.Nadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Africa , hata Idd Amini hafiki , laana kubwa sana !
Wapofiwa warundi na dikteta hakika tuliwaonea wivu Sana aisee.Tumshukuru mungu kuepusha nchi na mtu ambaye hakuwa Mtanzania roho mbaya sana.
Kwani bado yupo?Ila we mkuu ilkishafika issue ya JPM unaweza hata kusema ule kinyesi kama yeye angesema kisiliwe ili tu Uwe tofauti naye. Badilika unatia kinyaa.
Kuna Mashetan kama Hao wanao Pata mkate wao wa kila siku kwa vyeti feki???... imeniuma sana. Ni zaidi ya shetani; rest in hell forever. Binadamu unafikiaje kiwango hiki cha ushetani? Mungu awafute machozi wahusika.