TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Daaym fake academiahaya tuchukulie waliondolewa kihalali , haya baada ya hapo waliajiriwa wangapi kuziba pengo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaym fake academiahaya tuchukulie waliondolewa kihalali , haya baada ya hapo waliajiriwa wangapi kuziba pengo ?
Umesema ukweli, hali mbayaCCM wanaanza kupata akili sasa, japo unafiki na uzandiki hawawezi kuacha.
Wabunge wa CCM sasa wameona jambo lililobakia ni kutafuta "KIKI YA KUKUBALIKA MAJIMBONI", wakiendelea na "BENDI YA MAREHEMU KUIMBA MAPAMBIO" inakula kwao uchaguzi ujao.
Ama kweli tutajionea mengi katika utawala wa Mama Samia.
Kushambulia mimi hakutakupatia umaarufu hapa jf , hivi unadhani kama Magufuli alilenga wenye vyeti feki ilikuwaje Makonda akabaki , nenda jeshini ukaone kama alifika huko , kwani wale si watumishi wa umma ? hujui kitu kuhusu jambo hili , huyu Gambo alikuwa RC anajua kuliko wewe , endelea kunitukana lakini unachokitafuta utakipataKuna jinga moja jizi la vyeti linaitwa erythrocytes linatetea
The name itself is scarier,, an important cell in the body unabariki vyeti feki
Jamaa seemed to be smart, until I e knew ana vyeti feki
[emoji15][emoji15][emoji15]Du!!! Ama kweli CCM ni ileile ya "NDUMILA KUWILI"CCM wanaanza kupata akili sasa, japo unafiki na uzandiki hawawezi kuacha.
Wabunge wa CCM sasa wameona jambo lililobakia ni kutafuta "KIKI YA KUKUBALIKA MAJIMBONI", wakiendelea na "BENDI YA MAREHEMU KUIMBA MAPAMBIO" inakula kwao uchaguzi ujao.
Ama kweli tutajionea mengi katika utawala wa Mama Samia.
Upo sahihi kabisa, kama kaweza kujitenga na Magu kiasi hiki, wakt na yy alikuwa akifanya mambo ya kijinga jimboni kwake ili kumfurahisha mzee baba, huyu ni mnafk wa standard gauge, hata mama kesho atamkgeuka..
duh aisee...
basi aanze yeye mrisho gambo kuomba radhi na wale aliowatendea siyo, ijapo alicho kisema yupo sahihi kuhusu waliopigwa chini, ila naye alikuwa muovu kwa level ya anaye mkana leo
Hamtaki watu waokoke/wasilimu?....Shetani na mawakala wake wanaaibika!Nilikua simpendi Magu ila kwa hili nimeumia.
Waliobomolewa nyumba zao Kimara/Mbezi waangaliwe kwa jicho la huruma. Mita 122. 5 kila upande zinatisha. Kama ingekuwa ni vijiji huko mikoani, vijiji vingi zaidi ya 100 VINGEFUTIKA KWENYE RAMANI YA TANZANIAWaliobomolewa nyumba zao walipwe fidia.
Waliofukuzwa vyeti warejeshewe au walipwe chao maana walitoa nguvu zao kutumika.
Wa bureau de change warejeshewe pesa zao
Unaunga mkono vyeti feki?
Katika hili hapana. Magufuli alikuwa sahihi.
Tunaweza kumkosoa kwa mengine lakini hili hapana. Tuache kuwa wapuuzi.
Haiwezekani nchi ikawa inaajiri na kulea lea watu waliofoji vyeti na kufanya udanganyifu wa kitaaluma.
Hao wezi walipaswa kushitakiwa na kulipa gharama zote za liabilities walizosababisha.
Walipwe?? MAJIZI yalipwe!? Kweli?k
Hakuwa sahihi kabisa. Angekuwa sahihi Kama angewakamta waliowaajiri.Katika hili hapana. Magufuli alikuwa sahihi.
Tunaweza kumkosoa kwa mengine lakini hili hapana. Tuache kuwa wapuuzi.
Haiwezekani nchi ikawa inaajiri na kulea lea watu waliofoji vyeti na kufanya udanganyifu wa kitaaluma.
Hao wezi walipaswa kushitakiwa na kulipa gharama zote za liabilities walizosababisha.
Walipwe?? MAJIZI yalipwe!? Kweli?
magu fufuka uje uone.
Tupo marafiki wake wa kudumuHayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Ilikuwa ni chuki tu na chuki inauwaWaliobomolewa nyumba zao Kimara/Mbezi waangaliwe kwa jicho la huruma. Mita 122. 5 kila upande zinatisha. Kama ingekuwa ni vijiji huko mikoani, vijiji vingi zaidi ya 100 VINGEFUTIKA KWENYE RAMANI YA TANZANIA
Waliondelea.Mfano wa china awaamini katika vyeti wanaamini yeyeto mwenye akili timamu anaweza funza chochote akafanyaWenzetu akina Nani
Stop lying
Wanatakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa na serikali kama mishahara nk na wafunguliwe kesi ya wizi na uhujumu uchumi yaani gambo anatetea wezi aiisee.Hawa waliwanyima haki ya kuajiriwa watu wenye sifa zao wakes as a babushka mateso makubwa na familia zao.Nashukuru wabunge hawakumpigia makofi walikuwa wanamshangaa tu.Ana upeo mdogo sana Wa uelewaNa yeye atakuwa na vyeti feki. Kwanza wanatakiwa washukuru kuwa hawajafunguliwa mashtaka
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
Mwendazake ukatili wake Ni kiwango cha Benito Mussolini na Adolph Hitler. Kama angefika 2025 tungeshuhudia makubwa sana, lakini Mungu anaipenda nchi yetu, kamuondoa SHETANI tumebakia sisi binadamuNadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Africa , hata Idd Amini hafiki , laana kubwa sana !
Jamaa ameamua kutembea kwenye uhalisiaSiku za Mrisho Gambo ccm zinahesabika , nimeangalia mwenendo wake haufanani na mwenendo wa kinyama wa ccm