Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Nyie machagadema ni washenzi sana!Nadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Africa , hata Idd Amini hafiki , laana kubwa sana !
Hivi kosa la magufuli ni lipi hapo?
Kuwaondoa wezi wa taaluma ndilo kosa lake?
Ni watu wangapi walikosa fursa za kuajiriwa kwa sababu ya hao wezi waliofukuzwa?
Jamani! Aisee...