Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upunguani angalikua mumeo, mama au babako usingaliandika huu ujingaUnaunga mkono vyeti feki?
Hayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Hayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Hayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Hayati atabaki hana rafiki huko aliko na hapa duniani.
Baniani mbaya.tusiopenda unafiki na dhuluma kama sio ndo atukutaka kuchangamkia fursaPole mwendazake kumbe alikuwa hana rafiki ...ila uoga nao unakasumba tena unauzandiki
Ulitaka afungue mdomo yamkute yaliyomkuta Tundu Lissu?Angekuwapo Magu asingefungua bakuli lake mnafiki mkubwa huyo!
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Unaangalia kipi cha faida kwa wakati huo Kati ya tumbo au taaluma.Useme kweli utumbuliwe au upige Makofi tumbo lishibe.Ni kweli walikurupuka lakini mrisho mbona mlikaa kimya wakati wote huo?
Unaunga mkono vyeti feki?Acha upunguani angalikua mumeo, mama au babako usingaliandika huu ujinga
Kuna MTU alisema ukitaka kujua upuuzi na upunguani wa watanzania India ifHii yote ni kuhaha kuchafua legacy ya magufuli, bila kujua wanajichafua wenyewe! Kwanza they are lucky hawakufunguliwa mashitaka!
Hao vyeti feki wako kwenye utumishi wa umma tu?Unaunga mkono vyeti feki?
This country has a lot of fools aisee
Unataka huduma Bora kutoka Kwa substandard system
Basi tuachane kabisa na elimu, haina maana yoyote
Punguani kweli wewe
Ile ilikuwa ni manuevring technic ya kuchelewesha watu kuwaongezea mishahara, nyongeza na kupabdisha watu vyeo ili apeleke hela kwenye mamiradi yake.Ili zoezi hakika halikuwa na tija zaidi ni uonevu na kuwakomoa watu pale walipohoji vyeti feki vya bashite.maana mwendazake alipenda Sana bifu na ligi pale ni kiwandani.
Pia ilikuwa ni style ya kupunguza idadi ya watumishi Ili kupunguza gharama za kulipa mishahara.
Thus akajifichia kwenye uhakiki feki usioisha KILA siku watumishi kusumbuliwa mara leta vyeti uhakiki mara leta hiki mara TIN namba vitu vya ajabu, uhakiki gani usio fika mwisho mwaka wa sita sasa.Mtu anahakikiwa Hadi anastaafu nyongeza ya haki yake hakuna.
Yawezekana pia ilikuwa ni kuwakomoa watumishi kwa hisia za chuki eti walimpigia kura Lowasa 2015.
Tunamuomba Mungu asitokee tena kiongozi kama huyu milele Ili watz wafurahie mema ya nchi.
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
Gambo ana akili na utuMnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Pamoja na kwamba Gambo naye ni "mbunge hewa wa Arusha" lakini naona anaanza kujipambanua kuwa tofauti na ccm wengi bungeni ktk uwasilishaji wa hoja zinazogusa wananchi.
Akugusa wanajeshi,wanasiasa,wakuu wa mikoa,wabunge, mawaziri,ma dc nk.Ile ilikuwa ni manuevribg technic ya kuchelewesha watu kuwaongezea mishahara, nyongeza na kupabdisha watu vyeo ili apeleke hela kwenye mamiradi yake.
Kaka kweli alikuwa na nia ya kuhakiki vyeti feki mbona hakugusa wajeda?
Ndiyo maana tunasema hilo zoezi halikulenga kusafisha nchi dhidi ya vyeti feki, bali ni zoezi la kimkakati tu kuchelewesha haki za mfanyakaziAkugusa wanajeshi,wanasiasa,wakuu wa mikoa,wabunge, mawaziri,ma dc nk.