Unaweza forge cheti taaluma huwezi foji.Unaipataje taaluma bila ya kupewa cheti??
[emoji848]
Unaweza endesha gari au kuwa daktari kwa cheti tu pasipo kukaa darasani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza forge cheti taaluma huwezi foji.Unaipataje taaluma bila ya kupewa cheti??
[emoji848]
Walivyosoma hawakupewa vyeti?Angeondoa wafanyakazi hewa na sio wa vyeti.wa vyeti wengi walisoma zamani za uhaba wa shule.
Wao hiyo taaluma waliipata wapi?Unaweza forge cheti taaluma huwezi foji.
Unaweza endesha gari au kuwa daktari kwa cheti tu pasipo kukaa darasani
Upinzani nchi hii ni kapu la mwendawazimu yaani wanaweza hata kubisha kua hawavuti oxygen kisa tu wasionekane wapo sawa na chama tawala.Nchi ya wajinga hii hadi raha, kwamba mna hamasisha watu wasiende shule bali wakafoji vyeti wapate ajira, sio tu ajira tunaenda kutengeneza taifa la watu mbumbu, hivi tuna furahia ujinga huu kweli?
Walipewa.unamfukuza vipi professor aliyekaa darasa na akahitimu vizuri kisa tu eti cheti cha form jina limekosewa au sio lake.Walivyosoma hawakupewa vyeti?
Alifikaje kwenye uprofessa kama jina la kwenye cheti cha form four sio lake?Walipewa.unamfukuza vipi professor aliyekaa darasa na akahitimu vizuri kisa tu eti cheti cha form jina limekosewa au sio lake.
Udaktari ,ualimu ni taaluma kama alikaa darasani hata kama cheti sio chake.Cheti si chake bali taaluma ni yake.Thus walienda sekta binafsi wengine botswana,kenya,ulaya nk zingine wanafanya Kazi nzuri tu hadi wengine wakashukuru kupigwa chura.Ukuona madereva vyeti walivyosababisha Sana ajali tumepoteza watumishi wengi kwenye ajali sababu ya madereva vyeti.Wao hiyo taaluma waliipata wapi?
Yaan daktari anaweza kua na taaluma ya udaktari bila kua na cheti?
Daah, mwendazake akipiga chabo huku duniani atashangaa sana kuona kila mtu anajitenga na maamuzi yake na kumuita mkurupukaji
Zamani shule za sekondari zilikuwa chache kupata kuchaguliwa wapo watu walirudia hata mara 7 na sio hawakuwa na akili bali nafasi chache wapo waliopata nafasi lakini wazazi hawana uwezo wa kuwalipia,au amefariki ,ndugu mwenye kiu ya elimu alitumia jina lake kusonga ngazi zingine za elimu.Thus taaluma ni yake u profesa ni wake lkn jina sio lake.Alifikaje kwenye uprofessa kama jina la kwenye cheti cha form four sio lake?
Sio CCM tu bali ni wanasiasa wote hawaaminiki believe me.Hahaha ni vigumu sana kuwatofautisha ma ccm ktk.majira tofauti ..
Yaan leo anadhubutu kusema ivyo ?
Angekuwapo Magu asingefungua bakuli lake mnafiki mkubwa huyo!Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
Huyu ameanza kua na akiliAmeyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
Anachanga karate kishamba punde atakula Galashiels!Siku za Mrisho Gambo ccm zinahesabika , nimeangalia mwenendo wake haufanani na mwenendo wa kinyama wa ccm
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi