Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DP WorldAmbazo zilitoka wapi?
Nadhani hata wewe unabunibuni kilichotokea.Yatajulikana.Padiri Kitima naamini anaishi Dar, sasa lazima alipata mwaliko mapema, halafu kasafiri from Dar to Dodoma kwa ndege saa moja hivi na kwa gari ni kama Km 470 bado hajui anaitiwa nini? Labda yeye ndo alishauri mwaliko uwe hivo ili TEC iendelee kuheshimiwa na kutoonekana walibugi kiharakati?
Protocal ilizingatiwa. Haiwezekani Kiongozi kutoka nje wakati Mkuu wa nchi ameketi meza kuu.Mungu ana njia njema zaidi.Angeondoka kwa ghafla ingetafsiriwa vinginevyo.Afadhali aliendelea kuwepo na tumeyajua hadi ya uandishi wa kadi ya mwaliko wa hafla.
cc: walimu wote kuanzia darasa la tatu wapewe sampuli ya kadi kwa ufundishaji mahiri zaidi.
Ndiyo hivyo eenh?Vema.DP World
Kwahiyo Padiri Kitima aliyeitikia wito na kushiriki kikamilifu ktk Halfa yeye habunibuni?Nadhani hata wewe unabunibuni kilichotokea.Yatajulikana.
Yeye alikuwa spika tu redio ilikuwa pembeni.MRISHO ni hayawani
Ikulu hausimami tu bila ruhusaSehemu ukivunjiwa heshima unatakiwa kusimama na kuondoka muda huohuo haijalishi alie mbele yako ni nani
Kamkejeli vipi?Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Hahah Safi safi Mwamba huyu hapa. Ngoja tuwaachie mambo yenu mkuu, inapendeza sana tambwe za JF, idumuuKwa ground tunajua walamba lips hamuwezi kuchinja hata kuku kwahiyo lazima ushangae
Hawa vijana wakishashiba njugu mawe akili zinaona kila kitu kinawezekana tu.Ikulu hausimami tu bila ruhusa
Jifunze protocol
Kama hujui kusoma hadi umri wa ngumbaro umekupita unataka tukusaidieje ?Kamkejeli vipi?
huyo jamaa uliemuweka kwa profile kavaa hereni kuwa nae makini asije kukuinspireHahah Safi safi Mwamba huyu hapa. Ngoja tuwaachie mambo yenu mkuu, inapendeza sana tambwe za JF, idumuu