Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Sasa katika mwaliko wa aina hii, Fr. Kitima anhejuaje kama anaenda kushuhudia zoezi la utiaji saini wa huo mkataba!! Je, alitakiwa kukataa mwaliko wa Rais wa nchi?

Katika hili, nadhani Mrisho Mpoto amekurupuka! Na ameonesha ana uwezo mdogo wa kufikiri. Hata kama anajikombakomba ili mkono uende kinywani, nadhani amepitiliza kwenye kiwango cha kawaida.
 
Huwa tukisema CHADEMA haina dira,mwelekeo, na dhamira thabiti ya kuivusha Nchi hii, muwe mnaelewa.

Yaani ndio yale anayodai Bwana Mzee Laigwaan Tindu Lissu, kwamba, wapo wale kwa kujua au kutokujua wanaisaidia CCM kiaina. In short huwa hawafikiri. Mada hii inawasaidia(inatusaidia). Kwani inafunika mijadala ya

Bandari na Maandamano ya tarehe tisa.

Yani, Bandari Imegawiwa, na Njaa kali imetamalaki Uraiani, Sauti ya Watanzania imo kwenye mchakato wa kuhamasisha Umma kuhusu Maandamano, wao wanahoji, kwanini Makonda amechaguliwa?



Kwanini wasihoji ya Bandari kugawiwa, Kwanini wasihamasishe UMMA kujiandaa na Maandamano....wanahoji ya Mpoto?

Jibu ndio yale nilishagusia huko, hawana mwelekeo, hawana dira na hakuna Sera zinazoeleweka watakazo zileta wakishika Dola. Yaani wanasubiria huo, "Nusu mkate waje wagawiwe Wizara mbili tatu 2025 🙄
 
Huwa tukisema CHADEMA haina dira,mwelekeo, na dhamira thabiti ya kuivusha Nchi hii, muwe mnaelewa.

Yaani ndio yale anayodai Bwana Mzee Laigwaan Tindu Lissu, kwamba, wapo wale kwa kujua au kutokujua wanaisaidia CCM kiaina. In short huwa hawafikiri. Mada hii inawasaidia(inatusaidia). Kwani inafunika mijadala ya

Bandari na Maandamano ya tarehe tisa.

Yani, Bandari Imegawiwa, na Njaa kali imetamalaki Uraiani, Sauti ya Watanzania imo kwenye mchakato wa kuhamasisha Umma kuhusu Maandamano, wao wanahoji, kwanini Makonda amechaguliwa?



Kwanini wasihoji ya Bandari kugawiwa, Kwanini wasihamasishe UMMA kujiandaa na Maandamano....wanahoji ya Mpoto?

Jibu ndio yale nilishagusia huko, hawana mwelekeo, hawana dira na hakuna Sera zinazoeleweka watakazo zileta wakishika Dola. Yaani wanasubiria huo, "Nusu mkate waje wagawiwe Wizara mbili tatu 2025 🙄
Kwanini andiko langu unaliita ni la Chadema ?
 
Kuhusu kipaji anacho na ndiyo hicho wanasiasa wanachokitumia kuzodelea wapinzani wao. Mrisho mpota ni chawa, dhana mpya katika inayomaanisha mpiga debe wa wanasiasa wanaomtumia katika sanaa yake hiyo. Ila awe smart na aache kutumika kisiasa kukakashifu wengine wenye mawazo na maoni tofauti dhidi ya serikali/chama tawala. Hii iende na kwa wasanii wote wanaotumika vibaya na wanasiasa.

La sivyo tujue hao wasanii ni makada kindakindaki wa vyama wanavyopigia kampeni na iwe vyema kila msanii kuwa huru kupigia kampeni chama chochote anachokiamini bila hofu ya kukomeshwa na wenye mamlaka. Uchaguzi mkuu unakuja, kile chama huchukua wasanii wote na kuzunguka nao nchi nzima huku nacho kina kikundi chake cha sanaa hakiridhiki nacho mpaka kisombe wasanii wote
 
Kwa kauli ya mpoto Fr Dr Kitima alifuata mnuso ikulu, hii ni dharau kubwa sana, fr alitakiwa kuinuka na kuomba udhuru wakuondoka, beside hafla za Rais zinahitaji kuratibiwa kwa umakini vinginevyo watu watakuja pondana glass za mvinyo.

Sasa hapo mpoto alifuata nini? Badala ya kuwaalika wanazuoni na wadau wa bandari, sio kitima tu kadhihakiwa lakini wageni waalikwa wote imeonekana walifuata wali, siku za mbeleni tutegemee viti vya ikulu kubaki wazi, huku akina mpoto wakichangamkia chupa za kvant
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Mpoki was very right. Kitima ni binadamu tu na ana madhaiifu yoteeee. Wakristu walikuwa na malengo yao.
Je marehemu angekuwa hai wangempinga kama walivyojaribu mama
 
Hatakama unadhihakiwa ukae tu kisa protocal? Angenyoosha mkono, mc angemfuata na angeomba udhuru wa kutoka,

Hotuba ya mpoto ilipaswa ipitiwe kabla na watu wa protocal sio kujiropokea tu
Sidhani kama kuna taratibu hizo siku hizi, itoshe, hayo ndio tuliambiwa hapa Jamvini kuwa Zuhura, Msigwa na nani sijui(kapuni) ndio wataleta! Waliita 'weledi' Hatahivyo, protokali zao wamezoea kuzima zima mioto tu. (Reactionary) Kesho twaweza sikia teua tengua nyingine,
 
Back
Top Bottom