Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Ndo keshararisha uuzwaji wa bandari
Zuhura amepwaya kwakeli hii ndio shida ya kuokoteleza watu, dr Abbas asingekubali haya mambo ya hovyoSidhani kama kuna taratibu hizo siku hizi, itoshe, hayo ndio tuliambiwa hapa Jamvini kuwa Zuhura, Msigwa na nani sijui(kapuni) ndio wataleta! Waliita 'weledi' Hatahivyo, protokali zao wamezoea kuzima zima mioto tu. (Reactionary) Kesho twaweza sikia teua tengua nyingine,
Kumbe huna hoja !Nimechanganya mambo ??
Unajua, nilikuwa kuule kwenye Nusu Mkate.
Tuwekeeni mwaliko wa Mpoto basi😁
Inategemea na hekima yakoSehemu ukivunjiwa heshima unatakiwa kusimama na kuondoka muda huohuo haijalishi alie mbele yako ni nani
Upo uwezekano.Mrisho Mpoto asilaumiwe,ametumwa na Rais kumdhihaki Fr. Kitima na amelipwa kwa kazi hiyo
Inasemekana pia ni fundi wa mitishamba na mazindikoMrisho ni sawa na bumunda tu sijui ccm wanampendea nini huyo zero iq
Hivi huwa mna soma vyuo gani?Nimerudia kusoma tena sijaiona kejeli.
Nimeona wewe ndiyo unamkejeli Mpoto.
Au wewe umekasirika mikataba mitatu kusainiwa baina ya TPA na DP World?
Utasema Jua hili halizami kabla hakijnukaKwenye keyboard vijana wa tanzania huwaga ni machachari sana aisee.
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Kitima alostahili kudhihakiwa.Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Wewe unawaogopa wakatolikiKitima alostahili kudhihakiwa.
1. Anaendeleza mfumo wa wakatoliki kujiona wao ni raia daraja la kwanza.
2. Anaendeleza ushenzi wao wa kuzusha,kukejeli na kumpiga vita raisi yeyote aliyepo madarakani,ilimradi ni muislamu.
3. Kujiona wao wakatoliki wanaelimu na wajuaji kuliko wengine wote. Wakati ukweli wamesonga ila hawakuelimika.
Hayo yote yamepelekea kuwa na kiburi,dharau na majivuno
kabila gani hilo ?Mpoto kwa lugha ya kwetu ni mavi
Ata kwa kiswahili ni ivo ivo.Mpoto kwa lugha ya kwetu ni mavi