Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Ila dr fr mpango kuhusu dpw kabla hata haujatoka alikuwa kapata ila taarifa kuhusu nini kinaenda kufanyika ikulu habari alikuwa hana 🥴🤔
 
Nadhani hata wewe unabunibuni kilichotokea.Yatajulikana.
 
Protocal ilizingatiwa. Haiwezekani Kiongozi kutoka nje wakati Mkuu wa nchi ameketi meza kuu.
 
Kamkejeli vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…