Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Wewe unawaogopa wakatoliki
Sina ninachowaogopa. Ila nachukia sana tabia zao hizo.
Wakati wa Mwinyi walimwandikia barua 14 za kichungaji kumuonya na kumkosoa. Kila biashara au jengo kubwa wakatudanganya ni Mali ya Mwinyi kupitia mkewe M. Sity.
Wakati wa Mkapa hatukuyasikia hayo. Pamoja na kuuza mashirika ya uma Kwa bei ya kutupa. Rejea machimbo ya makaa ya mawe Kiwira.
Sababu..
Alikuwa mkatoliki mwenzao.

Alipokuja Kikwete yakajirudia. Akaimbwa Ridh-wani. Na chadema wakaicheza ngoma ya wakatoliki. Wakapata sababu ya kutukana waislamu na uislamu. Hadi Leo yule mpuuzi wa chadema anadai anakula kiti moto na mashekh. Hizi ni dharau na kejeli walizorithi kutoka Kwa wakatoliki.
Alipokuja Magu tukaona unafiki wa maaskofu wa kikatoliki. Wakaimba Kila aina ya mapambio ya sifa.

Amekuja Samia wamerudia kutufanya wajinga. Kutaka kuonesha raisi akiwa muislamu hafanyi lolote zaidi ya ufisadi. Watawadanganya kondoo wao. Sio sisi.
Na huu upuuzi haujui tuu ni kiasi gani unaumiza na kujaza hasira vifuani mwetu. Ipo siku tutaheshimiana. Baada ya kupigana wenyewe Kwa wenyewe ndipo mtajua thamani ya amani na ubaya wa upuuzi wa chokochoko kama hizo
 
Mrisho Mpoto ajiandae kukutwa na jambo dhihaka si jema tena kwa mtumishi wa Mungu lengo ni kumfurahisha sa100

Atafute namna nzuri ya kughani uo ujinga wake
 
Halafu wanashindwa kuelewa kuwa hata kama ni chaka ,chaka kenyewe linatoka Kwa amiri jeshi .ndo maan yanayoganywa na hiyo ofisi ni unthinkable
 
Eti Mungu hadhihakiwi. Kwa hiyo huyo kitima ndiye Mungu wako ambaye akidhihakiwa unalialia.
 
Sehemu ukivunjiwa heshima unatakiwa kusimama na kuondoka muda huohuo haijalishi alie mbele yako ni nani
Hukoni kuionyesha ukiburi
Ki time anabusara ndiyo maana aliendelea kukaa pale

Kitendo Cha kuondoka angekuwa ameshindwa

Na huyo Mpoto wenu kutembea peku ni masharti ya uganga wa wakina Sanga Makete
Kulikiwa na tajiri mmoja anaitwa Lord Lofa alikuwa anatembea peku
Huyo Mpoto utakuta pia analala sakafuni ndiyo masharti ya uganga huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…