Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Lissu kawapasha ukweli ukatae tume ya haki dhidi ya marehemu halafu .....unafiki mtupu
 
Kama hiyo ni post ya Mpoto.

Basi nimejiridhisha pasi na shaka kuwa nyimbo zake zote huwa kuna mtu anamtungia, yeye kazi yake kubwa ni kumeza na kuyaongea na sio kuimba.
Hahaha
 
Diamond ana masharti kila alhamisi haendi popote zaidi ya kumlala mamaake na hii ni kutoka kwenye chanzo nyeti. Kesho ijumaa au jmosi ataenda msibani.

Umaarufu una gharama zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Sometime hata kama una chuki na mtu angalia pia na maneno ya kuongea mkuu,,,afu si jambo jema hata kidogo kumdhalilisha mama wa mwenzio tena kwa kitu ambacho huna uhakika,umesikia tu kwa mtu ambaye naye amesikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na wengibwasichojua ni kwamba mtu aliye dhamiria kuua career yako huyo ni zaidi ya mchawi,mana yake anataka ufe wewe na kizazi chako kinachokutegemea kwa mlo wa kila siku....
 
Jide ameshafika? Ila diamond ana damu ya kunguni sana hapo anaonekana yeye tu. Siku hizi mpaka misiba mtu anakaa ana angalia nani kapost na nani kafika mitandao ya kijamii inatupeleka wapi.
Mpoto ni mnafki wa kiwango cha chato airport
Hahahahaaa hapo ameamua kumchongea diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…