Lissu kawapasha ukweli ukatae tume ya haki dhidi ya marehemu halafu .....unafiki mtupuHivi nyerere angeenda kwenye msiba wa idd amini (kama angekuwepo wakati wa kifo) watu mngemuelewa..
Saa nyingine tuache unafiki..
Kama ulikua unamdis marehem wakati wa uhai kwa nini umpende akifa??
Kwani diamond akienda ndio ruge anaenda mbinguni??
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu sana msiba una watu wanafiki huo haijawahi kutokea.Kwa hiyo Mrisho Mpoto ameenda msibani ili kuangalia watu wasiohudhuria.
Kwa hali hii maendeleo ya watanzania yatasubiri sana.
Mbona mkali mrembo ?Tena ni vizuri asije kabisa ili uchawi wake ufanye kazi vizuri
Nimeona na vishabiki uchwara vyake vimegoma kupost msiba wa Ruge( nina wadogo zangu vichwa panzi vinamshabikiaga huyu sperm donor)
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji134]Diamond ana masharti kila alhamisi haendi popote zaidi ya kumlala mamaake na hii ni kutoka kwenye chanzo nyeti. Kesho ijumaa au jmosi ataenda msibani.
Umaarufu una gharama zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometime hata kama una chuki na mtu angalia pia na maneno ya kuongea mkuu,,,afu si jambo jema hata kidogo kumdhalilisha mama wa mwenzio tena kwa kitu ambacho huna uhakika,umesikia tu kwa mtu ambaye naye amesikiaDiamond ana masharti kila alhamisi haendi popote zaidi ya kumlala mamaake na hii ni kutoka kwenye chanzo nyeti. Kesho ijumaa au jmosi ataenda msibani.
Umaarufu una gharama zake
Sent using Jamii Forums mobile app
na wengibwasichojua ni kwamba mtu aliye dhamiria kuua career yako huyo ni zaidi ya mchawi,mana yake anataka ufe wewe na kizazi chako kinachokutegemea kwa mlo wa kila siku....Ugomvi wa WCB na CLOUDS ni zaidi ya biashara ni PERSONAL!! sitashangaa asipoenda, mtu akikukwamisha kimaisha kwa kukunyima airtime ya bidhaa(nyimbo) yako anakuua kibiashara maana anakutakia kifo cha kimwili au uwe ombaomba maisha yako yote, kwanini we ujifanye mnafiki anapoondoka huyo mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa hapo ameamua kumchongea diamondJide ameshafika? Ila diamond ana damu ya kunguni sana hapo anaonekana yeye tu. Siku hizi mpaka misiba mtu anakaa ana angalia nani kapost na nani kafika mitandao ya kijamii inatupeleka wapi.
Mpoto ni mnafki wa kiwango cha chato airport
Mkuu kwenye msiba wa fukara hakuna tatizo ila kwa wenzetu mboga saba ni tatizo.Kwenye msiba wa Godzilla mbona hakuombwa kwenda?
Ww ni mrembo sanaKama uliweza kuacha kunyonya titi la mama yako mimi ni nani usiniache??
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki unazo wewe.Kama chuki zenu ambavyo hazijazuia dunia kuzizima na msiba wa Ruge Mutahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna, mi nakuona ww ni mrembo