Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
Diamond diamond diamond mbona A.Kiba haja fika uko msibani na hamsemi lolote wabongo ni wanafiki hakuna mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Vito😂😂Very wise advise, this kid should know it wasn't personal, it was business, in Don Corleone voice
Anhaa kwahiyo marehemu ndiyo aliyeanza kumfanyia hujuma mwenzake kisa kagoma kutumiwa ?Inamaana hadi Leo bado hujajuwa kama BABU TALE SALIM SK MKUBWA FELLA wapo chini ya DIAMOND.....? hao Kwa Diamond ni Madalali tu......wala sio-manage.......
Hao jamaa wabaya sana ndio waliochochea beef........ Ya Diamond na Ruge
Unajua chanzo cha Diamond kugombana na Ruge?? Ngoja nikujuze
Diamond baada yakuwa Star alishindwa kuendelea kuwa katika utawala wa Luge Cuz Ruge alimu-impower Diamond kwanguvu zote akiamini Diamond anakua chini yake ili-amtumie.....
Baada ya Diamond kugoma baadhi ya Maagizo ya Ruge akaanza kufanyiwa Figisu Figisu ili amshushe kimziki....... Nyimbo za Diamond zikaanza kubaniwa clouds na baadhi ya Station nyingine ambazo wameungana......na Clouds
Nyuma ya Diamond kulikuwa na akina MSAFIRI JUMA aka Papa Misifa nk......wakamtibulia mipango Ruge ndipo wakina BABU TALE MKUBWA FELLA SALIM SK wakakubali kuwa chini ya Diamond.
Wabongo wanayumba sanaa mzee.Mi ningekua Magu kwa akili kama hizi zenu wa tz ningewatawala miaka yote mbwa kabisa au ningewauza tena utumwani
Mbona diamond ba si lady jdee. Au jude yeye anaenda?Pekupeku kama mpoto kwenye hili amefell Post yake imekaa vibaya....View attachment 1034579
Tz kila MTU anataka kujikuta mwambaHalafu huyu mzee naye anatafuta kiki tu..
Kama diamond ni mdogo waka inamaanisha ana namba yake..kwa nini kitu sensitive hivi akipost insta badala ya kumcheki kwenye simu akamshauri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la kupigia choo dekiHakumsikia Mama yake juzi hapa alisema
Kama kwamba Diamond akienda kwenye misiba anakuwa star watu wanamlilia yeye na kuharibu misiba ya watu kwa kufanya watu walie na kuzimia.. na mengineyo aliyoyasema kumtetea..
Bora aendelee hivyo hivyo kutoenda kwenye misiba..
Mwisho wa siku atajiju..
Na masikini akipata halali aonewe tu sio ??? Zero brein ..kilazasHuyu dogo leo amenifanya nitambue, maana halisi ya usemi wa MASIKINI AKIPATA MATAKO ULIA MBWATA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapigiy deki choo Hilo povu lakoWho the hell is he?
Msiba wa Familia ya Ruge yeye nani mpaka abembelezwe?
Kuna mtu namchukia with passion!
Mbona Hitler na idi amin hawajaachwa salamaHii ni kweli mjomba Mpoto; marehemu huwa hana kinyongo tena
Ruge kawanyanyua wasanii wote wa Tanzania walioibukia miaka ya hadi 2015. Lakini wengine wao, hasa Diamond, baada ya kufika juu wakaanza mbwembwe kwa kumfanyia maringo na kumtupia matusi. Hata leo hii mtu unaposikia Diamond anaandaa Festival, ni kwa sababu anakopi Fiesta iliyoasisiwa na Ruge. Diamond connection yake na Davido ilitokana na Fiesta ya mwaka 2013 au 2014 hivi ndipo ile kolabo yao ikamtoa. Baada ya kutoka, akatupa matusi kwa Davido na kwa Ruge: kazi kweli kweli; Wahenga walisema tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
Sikukuelewa kutokana maandiko yako ya mkato. Huenda maoni ni sahihi na nimeandika kwa mapungufu, lakini jua kuwa marehemu halipi kisasi tena! Kisasi chake kinatoka wapi.... sote hatujui.
Hata dudu baya watu walijazana kwenye posti yake so huyo diamond hana tofauti na the duduwangekua hawashoboki nae wangejazana kwny kila post yake?