Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Inamaana hadi Leo bado hujajuwa kama BABU TALE SALIM SK MKUBWA FELLA wapo chini ya DIAMOND.....? hao Kwa Diamond ni Madalali tu......wala sio-manage.......


Hao jamaa wabaya sana ndio waliochochea beef........ Ya Diamond na Ruge


Unajua chanzo cha Diamond kugombana na Ruge?? Ngoja nikujuze


Diamond baada yakuwa Star alishindwa kuendelea kuwa katika utawala wa Luge Cuz Ruge alimu-impower Diamond kwanguvu zote akiamini Diamond anakua chini yake ili-amtumie.....


Baada ya Diamond kugoma baadhi ya Maagizo ya Ruge akaanza kufanyiwa Figisu Figisu ili amshushe kimziki....... Nyimbo za Diamond zikaanza kubaniwa clouds na baadhi ya Station nyingine ambazo wameungana......na Clouds


Nyuma ya Diamond kulikuwa na akina MSAFIRI JUMA aka Papa Misifa nk......wakamtibulia mipango Ruge ndipo wakina BABU TALE MKUBWA FELLA SALIM SK wakakubali kuwa chini ya Diamond.
Anhaa kwahiyo marehemu ndiyo aliyeanza kumfanyia hujuma mwenzake kisa kagoma kutumiwa ?
 
Hakumsikia Mama yake juzi hapa alisema

Kama kwamba Diamond akienda kwenye misiba anakuwa star watu wanamlilia yeye na kuharibu misiba ya watu kwa kufanya watu walie na kuzimia.. na mengineyo aliyoyasema kumtetea..

Bora aendelee hivyo hivyo kutoenda kwenye misiba..

Mwisho wa siku atajiju..
Povu la kupigia choo deki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kweli mjomba Mpoto; marehemu huwa hana kinyongo tena

Ruge kawanyanyua wasanii wote wa Tanzania walioibukia miaka ya hadi 2015. Lakini wengine wao, hasa Diamond, baada ya kufika juu wakaanza mbwembwe kwa kumfanyia maringo na kumtupia matusi. Hata leo hii mtu unaposikia Diamond anaandaa Festival, ni kwa sababu anakopi Fiesta iliyoasisiwa na Ruge. Diamond connection yake na Davido ilitokana na Fiesta ya mwaka 2013 au 2014 hivi ndipo ile kolabo yao ikamtoa. Baada ya kutoka, akatupa matusi kwa Davido na kwa Ruge: kazi kweli kweli; Wahenga walisema tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
 
Hii ni kweli mjomba Mpoto; marehemu huwa hana kinyongo tena

Ruge kawanyanyua wasanii wote wa Tanzania walioibukia miaka ya hadi 2015. Lakini wengine wao, hasa Diamond, baada ya kufika juu wakaanza mbwembwe kwa kumfanyia maringo na kumtupia matusi. Hata leo hii mtu unaposikia Diamond anaandaa Festival, ni kwa sababu anakopi Fiesta iliyoasisiwa na Ruge. Diamond connection yake na Davido ilitokana na Fiesta ya mwaka 2013 au 2014 hivi ndipo ile kolabo yao ikamtoa. Baada ya kutoka, akatupa matusi kwa Davido na kwa Ruge: kazi kweli kweli; Wahenga walisema tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
Mbona Hitler na idi amin hawajaachwa salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wanafiki sana.Huyu Ruge ndie alieataka kuua kipaji cha Diamond.Sasa unataka aende kulia msibani kwa lipi?Ndiye huyo aliyepiga stop kitu chochote kinachohusiana na Diamond kisisikike Clouds.Mbona watu hawamsemi Lady jaydee.Wamemshupalia Jamaa.But the good thing anawajua wabongo.And his playing smart.
 
Back
Top Bottom