Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila watu wana vihere here sana.Pekupeku kama mpoto kwenye hili amefell Post yake imekaa vibaya....View attachment 1034579
Usilo lijua ni sawa na usiku wa gizaHii ni kweli mjomba Mpoto; marehemu huwa hana kinyongo tena
Ruge kawanyanyua wasanii wote wa Tanzania walioibukia miaka ya hadi 2015. Lakini wengine wao, hasa Diamond, baada ya kufika juu wakaanza mbwembwe kwa kumfanyia maringo na kumtupia matusi. Hata leo hii mtu unaposikia Diamond anaandaa Festival, ni kwa sababu anakopi Fiesta iliyoasisiwa na Ruge. Diamond connection yake na Davido ilitokana na Fiesta ya mwaka 2013 au 2014 hivi ndipo ile kolabo yao ikamtoa. Baada ya kutoka, akatupa matusi kwa Davido na kwa Ruge: kazi kweli kweli; Wahenga walisema tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
TOP 20 YA CLOUDS YA KUFUNGIA MWAKA ETI KIOKOTE IMESHIKA NAMBA MOJA KHAAAAA!!!! NA HAKUNA WIMBO HATA MMOJA TOKA WCB???JAMII yako kwa maana ya familia na ukoo wako labda.
sio kila mtu anamfagilia marehemu
amekufa hapigi nyimbo ya diamond
vi employee vyake pale anavi raise ili avile nyama
watu wanalazimishwa kukubali madili ya laki mbili
leo afe tuseme ni msiba wa kitaifa, kwa lipi?
umeandika pumba roughly 95%Bila kujali ugomvi wao ni nini ila Ruge ana mchango (roughly 80%) kwenye mafanikio ya Diamond..Alimshape,baadhi ya nyimbo kama Mawazo,nitarejea n.k alichangia mawazo katika kuandika..Show kubwa ya kwanza ya Diamond pale mlimani city (Diamonds are forever) organizer alikuwa Ruge,mchango mkubwa aliutoa Ruge,venue Ruge n.k, Zari all White Party ya Dar lilikuwa wazo la Ruge na ndiyo alikuwa big contributor (Sasa hapa dogo akataka wagawane pasu kwa pasu wakati aliyefanya investiment kubwa ni Ruge.
Dogo kwenye fiesta akawa anataka alipwe ten million (which is not bad kutokana na hadhi yake) but kiuhalisia angelipwa yeye peke yake 10 mil hapo bado wasanii wengine hawajalipwa,bado per diems zao,transport,bima,maandalizi ya venue,jukwaa na security,matangazo n.k na na wenye show wapate faida si ni hatari hiyo?Angeweza kuchukua 10mil kwa baadhi ya mikoa ila huwezi kukomaa kulipwa 10mil Musoma au Sumbawanga wakati entrance fee yao tu huwa inashushwa..may be kwa Dsm,Mwanza na Chuga angweza kudemand hiyo..na hiyo ndo source ya Ugomvi wao Dai akaona kama vile Ruge anambania wakati macollabo makubwa makubwa ya nje Ruge ndo alikuwa anamconnect na baadhi Ay...#okbye
Mtamzika tu hata iweje, labda afe kama mzee kiparaHakumsikia Mama yake juzi hapa alisema
Kama kwamba Diamond akienda kwenye misiba anakuwa star watu wanamlilia yeye na kuharibu misiba ya watu kwa kufanya watu walie na kuzimia.. na mengineyo aliyoyasema kumtetea..
Bora aendelee hivyo hivyo kutoenda kwenye misiba..
Mwisho wa siku atajiju..
Hakuna aliyelazimishwa kwenda kwenye msiba ni utashi wa mtu tu,kama Domondi atatuma mwakilishi sio mbaya kama alivyotuma mwakilishi kwa Godzilla.Amekuja Makonda mmemuita mnafiki, mnataka Mondi naye aje mumfanye nini!!!?? Kwani mkienda wenyewe msibani si inatosha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kujali ugomvi wao ni nini ila Ruge ana mchango (roughly 80%) kwenye mafanikio ya Diamond..Alimshape,baadhi ya nyimbo kama Mawazo,nitarejea n.k alichangia mawazo katika kuandika..Show kubwa ya kwanza ya Diamond pale mlimani city (Diamonds are forever) organizer alikuwa Ruge,mchango mkubwa aliutoa Ruge,venue Ruge n.k, Zari all White Party ya Dar lilikuwa wazo la Ruge na ndiyo alikuwa big contributor (Sasa hapa dogo akataka wagawane pasu kwa pasu wakati aliyefanya investiment kubwa ni Ruge.
Dogo kwenye fiesta akawa anataka alipwe ten million (which is not bad kutokana na hadhi yake) but kiuhalisia angelipwa yeye peke yake 10 mil hapo bado wasanii wengine hawajalipwa,bado per diems zao,transport,bima,maandalizi ya venue,jukwaa na security,matangazo n.k na na wenye show wapate faida si ni hatari hiyo?Angeweza kuchukua 10mil kwa baadhi ya mikoa ila huwezi kukomaa kulipwa 10mil Musoma au Sumbawanga wakati entrance fee yao tu huwa inashushwa..may be kwa Dsm,Mwanza na Chuga angweza kudemand hiyo..na hiyo ndo source ya Ugomvi wao Dai akaona kama vile Ruge anambania wakati macollabo makubwa makubwa ya nje Ruge ndo alikuwa anamconnect na baadhi Ay...#okbye
Hivi nyerere angeenda kwenye msiba wa idd amini (kama angekuwepo wakati wa kifo) watu mngemuelewa..
Saa nyingine tuache unafiki..
Kama ulikua unamdis marehem wakati wa uhai kwa nini umpende akifa??
Kwani diamond akienda ndio ruge anaenda mbinguni??
Sent using Jamii Forums mobile app