Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Nikome nyokoloAhahaaaaah...
Nadhani upo msibani mama,hivyo basi ngoja nikuache uendelee na maombolezo..!
Ila kumbuka sio kila mtu huwa anaziweka hisia zake zote mitandaoni,usikute Diamond ameumizwa na huu msiba kuliko wewe unayehangaika kumtukana huku JF...
Pia,usiwapangie watu namna ya kuishi,huu ushauri umepewa na watu wengi sana kwenye huu uzi...
Sent using Jamii Forums mobile app