“Mrithi wa Sanchoka” anayetrend sana kwenye Social Networks

“Mrithi wa Sanchoka” anayetrend sana kwenye Social Networks

hiyo ni Iringa mkuu, acha ubishi, na maeneo hayo nimezuru sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iringa ya wapi dogo acha uongo, kama ni jiwe gagilonga haliko hivyo hata ile milima mbele isingeonekana.......usidanganye watu, kama ingepigwa Iringa ungeona vile vihenge vya NMC, ungeiona Mlandege si hayo mamilima yanayoonekana
 
Sanchi kashazeeka kilomita zimesoma sana ngoja waje Young Bloodz nao watetemeshe.
 
Niliwahi kwenda muhimbili idara ya ENT pale kuna nesi fulani aisee[emoji44] daah acheni mate yalinitoka

Ana msambwana natural kabisa miguu ya bia minene hiyo na sura nzuri ya upole .

Sijui anaitwa nani yule nesi .

Hata kesho ukienda utamuona [emoji44][emoji44]

Daaah sijawahi ona shepu tamu Kama ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tupe details zaid mkuu ni kweli alienda malaysia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka details gan mkuu😂😂 hii kazi ya warumi aisee😂

niliona her interview kwa Millard Ayo anasema kasoma Malaysia! Which isn’t true😂😂😂🤣 hatak kusema ukweli Shule alizosoma maana anajua kuna vichwa vitamuandama

Btw hayo maisha alikua anayapenda waaaaay back so it’s a dream come true to her.
 
Back
Top Bottom