“Mrithi wa Sanchoka” anayetrend sana kwenye Social Networks

“Mrithi wa Sanchoka” anayetrend sana kwenye Social Networks

Hivi throat si ndio koo eeh[emoji848][emoji848]
Ngoja niende na mm nikaseme naumwa throat na nose pia Nina mafua(napulizia pafyumu ya buku tatu najua yatakuja yenyewe tu)

Dadek watu tunasafiri mpaka mwanza huko kisa kufwata dem,sembuse hapo mwimbili tu,natimba mwanangu nitakuletea mrejesho kwenye ule Uzi wa kula tunda kimasihara

Nb;uniombee niwawakilishe vyema mabaharia
Akili ya kipumbavu
 
yes angalau huyu shepu yake inavutia tako liko proportional sio kama sanchoka
 
Well said
Sometimes unaogopa kabisa kumnunulia simu mdogo wako wa kike,hawa wadangaji ndio wana wanainspire sana wadogo zetu wa wakike wanaamini mafanikio yana patikana kwa njia ya K.

Na hamna platform wanayoitumia malaya na wa dangaji kama instagram kutangaza umalaya wao na maisha yao ya kuigiza,basi wadogo wanaamini maisha ndio hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha unaa
Sio unaa mi ndio nimeshaongea, au unafikiri hayo yana kazi nyingine zaidi ya hiyo, laiti tako lingekuwa sinema watu wangekuwa wanaliangalia lakini kwavile lina tundu watu wanaitumia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Sio unaa mi ndio nimeshaongea, au unafikiri hayo yana kazi nyingine zaidi ya hiyo, laiti tako lingekuwa sinema watu wangekuwa wanaliangalia lakini kwavile lina tundu watu wanaitumia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kwahiyo huyo Mungu wako aliwapa watu makalio kwa.matumizi hayo ? acha unaa sio kila mwanamke ni mpumbavu
 
Kwahiyo huyo Mungu wako aliwapa watu makalio kwa.matumizi hayo ? acha unaa sio kila mwanamke ni mpumbavu
Mungu hakuwapa watu makalio kwa ajili ya kazi hiyo isipokuwa watu ndio wanayatumia hivyo, unataka ushahidi? Then usiwe unaquote bila kusoma nilichoandika

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Kwahiyo huyo Mungu wako aliwapa watu makalio kwa.matumizi hayo ? acha unaa sio kila mwanamke ni mpumbavu
Kitu kidogo tu kinaweza kuharibu maana nzima ya sentensi. Unaweza kunionesha ni wapi nimeandika "KILA"??

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Mungu hakuwapa watu makalio kwa ajili ya kazi hiyo isipokuwa watu ndio wanayatumia hivyo, unataka ushahidi? Then usiwe unaquote bila kusoma nilichoandika

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unakumbuka ulichoandika mwanzo kabisa ?
 
Kitu kidogo tu kinaweza kuharibu maana nzima ya sentensi. Unaweza kunionesha ni wapi nimeandika "KILA"??

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nakuuliza unakumbuka ulichoandika mwanzo kabisa ?
 
Hivi throat si ndio koo eeh[emoji848][emoji848]
Ngoja niende na mm nikaseme naumwa throat na nose pia Nina mafua(napulizia pafyumu ya buku tatu najua yatakuja yenyewe tu)

Dadek watu tunasafiri mpaka mwanza huko kisa kufwata dem,sembuse hapo mwimbili tu,natimba mwanangu nitakuletea mrejesho kwenye ule Uzi wa kula tunda kimasihara

Nb;uniombee niwawakilishe vyema mabaharia
Kuna watu wengine sijui wanakuaga na makengeza..Unaona anasifia sana hapa.Nenda ukaone kituko anachosifia "utajuta"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom