Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
hapo nimemuuliza sjamjibu sawa?Sasa ulivojibu vinamsaada gn na jamaa hapo.
halafu unajua kwanini nimemuuliza what is matter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo nimemuuliza sjamjibu sawa?Sasa ulivojibu vinamsaada gn na jamaa hapo.
Brother Nina Amini Wewe ni Expert, tunatafuta Nini chakufanya Huyu Ili Jamaa aweze kusaidika Ahsantehapo nimemuuliza sjamjibu sawa?
halafu unajua kwanini nimemuuliza what is matter
Nadhani agricultural cs agriculturehapo nimemuuliza sjamjibu sawa?
halafu unajua kwanini nimemuuliza what is matter
Mkuu habari, naomba kufahamu baada ya kupeleka NECTA cheti halisi cha Form IV, ni maelezo gani alipewa Necta je walithibitisha kwamba ni cheti halisi, ni chake na hakina makosa?Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo,
Je baada ya kupewa matokeo ya awali, uongozi wa shule ulisemaje? Baada ya kuona hiyo tofauti ya uandishi wa somo?hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science
Sijaelewa kabisa jamaa anataka nini, sio kwa ubaya kama ndege wafananao huruka pamojaHabari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira (Ajira Potal) na kufanikiwa kuitwa kufanya usaili alifanikiwa kufanya written na baadaye oral na hivyo alifaulu na kupata barua ya kuitwa kazini na Utumishi. Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo, aliombwa kutoa maelezo ya cheti chake alifanya hivyo kwa asilimia mia moja
Alitumiwa barua yenye kuonyesha wasiwasi wa matokeo ya masomo yake, hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science, Huyu ndugu anateseka sana hivi sasa ukizingatia muda aliosota kwenye masomo ni mwingi, pia Umri umesonga anategemewa na familia . Tunatafuta msaada kwa wenye uwezo watusaidie kupata Suluhu ya hili Tatizo na kama kuna Sehemu sahihi ya kufika. Mpaka hivi sasa huyu bwana amepata Frustration na ufanisi wake wa kazi umeshuka kwani hajui pakuanzia na ni kweli alisoma na alifanikiwa kupata cheti na kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu.
Kwa heshima na Taadhima naomba Msaada wa Mawazo, Ushahuri chanya juu ya nini chakufanya kufanikisha hili jambo. Naomba Kuwasilisha
Ahsante Jinsi Mungu Aishivyo kaka Leo Nitakuwa naye na nitajibu hoja hii kwa mapana yake, alipata Barua ya kupangwa Kazi baada ya kwenda kituo Cha Kazi, mwajiri akampa Barua kutoka necta afike Ofisi zao.... Mpka hapo Bado Kuna Mashaka kwamba huenda kuna mtu anatumia Cheti chake.Mambo mawili nayaona hapa
1. Taarifa imekatizwa au
2. Kuna vitu (maelezo) yanakosekana
Kaenda NECTA... Kabla ya kuambiwa aende shuleni aliambiwa nini kuhusu cheti hicho na je aliambiwa aende shuleni akafanye nini?
Kaenda shuleni... Alivyooneshwa masomo akagundua kwenye cheti kuna shida je akaambiwaje
Utendaji kazi umeathirika... Je ina maana hiyo kazi kumbe alishapata au sijaelewa; kama ni ndiyo sasa shida ni nini tena?
Ushauri wangu kama amegundua kuna shida ni awasilishe cheti chake kwenye ofisi husika (NECTA) ili waone wanakibadilishaje
Kiingereza cha St. Kayumba hicho! Halafu mjinga mmoja anakushauri uhamishe watoto wako kutoka English Medium uwapeleke St. KayumbaSoma uelewe what is matter,, ni nn
Habari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira (Ajira Potal) na kufanikiwa kuitwa kufanya usaili alifanikiwa kufanya written na baadaye oral na hivyo alifaulu na kupata barua ya kuitwa kazini na Utumishi. Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo, aliombwa kutoa maelezo ya cheti chake alifanya hivyo kwa asilimia mia moja
Alitumiwa barua yenye kuonyesha wasiwasi wa matokeo ya masomo yake, hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science, Huyu ndugu anateseka sana hivi sasa ukizingatia muda aliosota kwenye masomo ni mwingi, pia Umri umesonga anategemewa na familia . Tunatafuta msaada kwa wenye uwezo watusaidie kupata Suluhu ya hili Tatizo na kama kuna Sehemu sahihi ya kufika. Mpaka hivi sasa huyu bwana amepata Frustration na ufanisi wake wa kazi umeshuka kwani hajui pakuanzia na ni kweli alisoma na alifanikiwa kupata cheti na kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu.
Kwa heshima na Taadhima naomba Msaada wa Mawazo, Ushahuri chanya juu ya nini chakufanya kufanikisha hili jambo. Naomba Kuwasilisha
Na wewe mbona umekazana na hiyo "what is matter?" Unaona hicho Kiingereza kiko sawa? Hebu andika Kiswahili wewe!hajawa specific ndio maana nikamuuliza what is matter
Kwa nini unajipa majibu mwenyewe? Eti "mpaka hapo bado kuna mashaka kwamba huenda kuna mtu anatumia cheti chake!" Unafikri shida ingekuwa hiyo ungekuwa mtaani leo hii? Hebu nenda ukapate majibu sahihi huko huko kwenye ajira yako. Kama cheti chako ulikichonga Kariakoo ndiyo utajuta!Ahsante Jinsi Mungu Aishivyo kaka Leo Nitakuwa naye na nitajibu hoja hii kwa mapana yake, alipata Barua ya kupangwa Kazi baada ya kwenda kituo Cha Kazi, mwajiri akampa Barua kutoka necta afike Ofisi zao.... Mpka hapo Bado Kuna Mashaka kwamba huenda kuna mtu anatumia Cheti chake.
One one door is closed many more is open....Habari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira (Ajira Potal) na kufanikiwa kuitwa kufanya usaili alifanikiwa kufanya written na baadaye oral na hivyo alifaulu na kupata barua ya kuitwa kazini na Utumishi. Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo, aliombwa kutoa maelezo ya cheti chake alifanya hivyo kwa asilimia mia moja
Alitumiwa barua yenye kuonyesha wasiwasi wa matokeo ya masomo yake, hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science, Huyu ndugu anateseka sana hivi sasa ukizingatia muda aliosota kwenye masomo ni mwingi, pia Umri umesonga anategemewa na familia . Tunatafuta msaada kwa wenye uwezo watusaidie kupata Suluhu ya hili Tatizo na kama kuna Sehemu sahihi ya kufika. Mpaka hivi sasa huyu bwana amepata Frustration na ufanisi wake wa kazi umeshuka kwani hajui pakuanzia na ni kweli alisoma na alifanikiwa kupata cheti na kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu.
Kwa heshima na Taadhima naomba Msaada wa Mawazo, Ushahuri chanya juu ya nini chakufanya kufanikisha hili jambo. Naomba Kuwasilisha
Matter yaweza kuwa matongotongo....Na wewe mbona umekazana na hiyo "what is matter?" Unaona hicho Kiingereza kiko sawa? Hebu andika Kiswahili wewe!
Kwani Si Database ya Necta Itaonyesha Kuwa Anasema Sahihi?Habari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira (Ajira Potal) na kufanikiwa kuitwa kufanya usaili alifanikiwa kufanya written na baadaye oral na hivyo alifaulu na kupata barua ya kuitwa kazini na Utumishi. Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo, aliombwa kutoa maelezo ya cheti chake alifanya hivyo kwa asilimia mia moja
Alitumiwa barua yenye kuonyesha wasiwasi wa matokeo ya masomo yake, hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science, Huyu ndugu anateseka sana hivi sasa ukizingatia muda aliosota kwenye masomo ni mwingi, pia Umri umesonga anategemewa na familia . Tunatafuta msaada kwa wenye uwezo watusaidie kupata Suluhu ya hili Tatizo na kama kuna Sehemu sahihi ya kufika. Mpaka hivi sasa huyu bwana amepata Frustration na ufanisi wake wa kazi umeshuka kwani hajui pakuanzia na ni kweli alisoma na alifanikiwa kupata cheti na kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu.
Kwa heshima na Taadhima naomba Msaada wa Mawazo, Ushahuri chanya juu ya nini chakufanya kufanikisha hili jambo. Naomba Kuwasilisha
kwa hiyo wakati anakuelezea hukumuhoji ukakimbilia jf kutafuta majibu kwa masuala usiyo na ufahamu nayo?Ahsante Jinsi Mungu Aishivyo kaka Leo Nitakuwa naye na nitajibu hoja hii kwa mapana yake, alipata Barua ya kupangwa Kazi baada ya kwenda kituo Cha Kazi, mwajiri akampa Barua kutoka necta afike Ofisi zao.... Mpka hapo Bado Kuna Mashaka kwamba huenda kuna mtu anatumia Cheti chake.
Si useme tu ni weweHabari ndugu zangu, wakubwa shikamooni na wadogo habari zenu. Nasimama na kuleta hoja hii kwa niaba ya Ndugu (Brother from another Mother).
Mwaka jana 2023 huyu ndugu alifanikiwa kuomba ajira (Ajira Potal) na kufanikiwa kuitwa kufanya usaili alifanikiwa kufanya written na baadaye oral na hivyo alifaulu na kupata barua ya kuitwa kazini na Utumishi. Baada ya muda mfupi, kabla ya kufika kituo cha kazi aliombwa cheti halisi cha Form IV alikipeleka Necta, Baada ya hapo, aliombwa kutoa maelezo ya cheti chake alifanya hivyo kwa asilimia mia moja
Alitumiwa barua yenye kuonyesha wasiwasi wa matokeo ya masomo yake, hivyo akaombwa aende shule ya sekondari aliyosoma alifanya hivyo na alipewa yale yale matokeo ya awali ni zamani kidogo 2002. aliweza kufanya comparison na aliona somo moja lililoandikwa Agriculture Science badala ya Agricultural Science, Huyu ndugu anateseka sana hivi sasa ukizingatia muda aliosota kwenye masomo ni mwingi, pia Umri umesonga anategemewa na familia . Tunatafuta msaada kwa wenye uwezo watusaidie kupata Suluhu ya hili Tatizo na kama kuna Sehemu sahihi ya kufika. Mpaka hivi sasa huyu bwana amepata Frustration na ufanisi wake wa kazi umeshuka kwani hajui pakuanzia na ni kweli alisoma na alifanikiwa kupata cheti na kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu.
Kwa heshima na Taadhima naomba Msaada wa Mawazo, Ushahuri chanya juu ya nini chakufanya kufanikisha hili jambo. Naomba Kuwasilisha