3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Ha ha ha ha mkuuTaja bei ya unit moja ni shilingi ngapi halafu ufunge naona umepata kazi ofisi ya msaidizi wa Mr. Mello
Bei ni 1679. 63 kwa Dawasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha mkuuTaja bei ya unit moja ni shilingi ngapi halafu ufunge naona umepata kazi ofisi ya msaidizi wa Mr. Mello
Unit 1 = lita 1000 za maji.Taja bei ya unit moja ni shilingi ngapi halafu ufunge naona umepata kazi ofisi ya msaidizi wa Mr. Mello
Sasa siku upo free naomba uchote.maji kwenye ndoo huku ukisoma unit kwenye mita uone kama hiyo unit moja itafika ndoo 20.. 😃😃😃😃😃😃😃unit 1=lita 1000=ndoo 50 za lita20=shilingi 1,679.63 kwa bei ya dar. kazi kwako.
Hii ndo comment inabidi Waziri wa maji aione kwenye file mezani kwake kesho asubuhi baada ya EidSasa siku upo free naomba uchote.maji kwenye ndoo huku ukisoma unit kwenye mita uone kama hiyo unit moja itafika ndoo 20.. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni kweli unit moja zinafika ndoo hamsini? Hizi meter endapo hazisomi uhalisia mteja au msoma meter anajuaje? Hapa serikali kuna namna inaumiza wananchi. Kama ingekuwa kweli unit moja inasoma ki uhalali ndoo 50 za lita 20 wananchi tungeisha kwa raha sana maana kufikisha unit 40 kwa mwezi kwa matumizi ya kawaida ni vigumu sana. Hizi idara za maji wafanyakazi wake ni kama hazimo, hata ulalamike vipi kuwa kwa matumizi ya kawaida kufikisha unit 40 kwa mwezi ni vigumu, swali la msingi wanalokuuliza ni meter inasoma au haisomi? Bila kujali kwamba inaweza kusoma ila ikasoma uongo. Hili ni janga hasa Morogoro mjiniunit 1=lita 1000=ndoo 50 za lita20=shilingi 1,679.63 kwa bei ya dar. kazi kwako.
Yaani huu nchi kila kona ni wizi tu..Hii ndo comment inabidi Waziri wa maji aione kwenye file mezani kwake kesho asubuhi baada ya Eid
Morogoro mjini tatizo la mita za maji kusoma units nyingi kuliko units halisi unazotumia ni kuwepo na hewa nyingi kwenye mabomba.Ni kweli unit moja zinafika ndoo hamsini? Hizi meter endapo hazisomi uhalisia mteja au msoma meter anajuaje? Hapa serikali kuna namna inaumiza wananchi. Kama ingekuwa kweli unit moja inasoma ki uhalali ndoo 50 za lita 20 wananchi tungeisha kwa raha sana maana kufikisha unit 40 kwa mwezi kwa matumizi ya kawaida ni vigumu sana. Hizi idara za maji wafanyakazi wake ni kama hazimo, hata ulalamike vipi kuwa kwa matumizi ya kawaida kufikisha unit 40 kwa mwezi ni vigumu, swali la msingi wanalokuuliza ni meter inasoma au haisomi? Bila kujali kwamba inaweza kusoma ila ikasoma uongo. Hili ni janga hasa Morogoro mjini
Jenga nyumba ako ili usiimbiwe unit za maji.
YOU ARE VERY CORRECT! NI WIZI MKUBWA SANA. ILA KWA BACHELOR KUOGA DUMU MOJA KWA WIKI IS NOT REALISTIC, IMPOSSIBLE, REKEBISHA HAPO,
😂😂😂 ulivyoongea Kwa utulivu yaani km kitu cha maana!! Na ukute wewe kwenye familia ndiyo think tank.. Kumbe ni takataka kabisaa! Kiwango kizuri cha mtu kufikiri vizuri ni pamoja na uwezo wake wa kudhibiti kila kitu kinacho pora haki yake! Halafu unajisifu ulipitia chuo na chuo hakijakusaidia kujitambua. Shule ulipita kuchukua ujinga!!Umaskini huu, Mtu anaoga, anaenda chooni, anapika etc, bill ya maji ya maji: 10,000 analalamika, ila anakunywa beer 7 weekend!!!!??
Sijawahi feel pain ya maji.... Toka nikiwa mwanafunzi mpaka leo.
Hivi ukiwa na fikra za kuwaza mambo madogo hivi, mpaka madum? Mililita. Sijui liter, sijui dumu, sijui nini, pumbavu kabisa.
Kumbe tatizo linafahamika! Kwanini mafundi hawalishughulikii sasaMorogoro mjini tatizo la mita za maji kusoma units nyingi kuliko units halisi unazotumia ni kuwepo na hewa nyingi kwenye mabomba.
Ni vizuri ukajifunza kutenda kwa haki. Ikiwa serikali yenyewe ime - set standards kwanini zisifuatwe? Na kwanini uone anayehoji kutofuatwa kwa hizo standards zilizowekwa ni mpumbavu? Kama wewe huoni kuna umuhimu huna sababu ya kukejeli anayeona umuhimu huo. Kumbuka chanzo cha utendaji mbovu kokote kule ni kukosekana kwa watu wanaohoji kitu kinachopelekea watendaji kufanya wanavyotaka waoUmaskini huu, Mtu anaoga, anaenda chooni, anapika etc, bill ya maji ya maji: 10,000 analalamika, ila anakunywa beer 7 weekend!!!!??
Sijawahi feel pain ya maji.... Toka nikiwa mwanafunzi mpaka leo.
Hivi ukiwa na fikra za kuwaza mambo madogo hivi, mpaka madum? Mililita. Sijui liter, sijui dumu, sijui nini, pumbavu kabisa.