Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa mtoa mada. Wazazi tunatakiwa kuwajengea watoto wetu uwezo wa kujitegemea siku za baadaye kupitia elimu bora na pia kuwaelimisha kuhusu umiliki wa mali. Kwenye hii mada, baba na mtoto wake wote kwa pamoja wanahusika kwa hii sintofahamu.

Binafsi najitahidi kuwaambia vijana wangu kusoma kwa bidii kupitia mamilioni ya shilingi kwa mwaka kama ada zao za shule, kwa sababu hiyo elimu ndiyo urithi wao wa baadaye! Na kamwe wasizifikirie mali zangu ambazo nazitafuta kwa shida.

Ukimjaza mtoto aina hii ya maneno, na ukiwekeza kwenye kumpatia elimu bora! Kamwe hawezi kubweteka kama mtoa mada! Unless awe na kichwa kibovu. Inasikitisha katikaa umri wake huo, mtoa mada bado anaota kupata mgao wa mali kutoka kwa baba yake, na ambaye bado yuko hai.
True Elimu pekee haitoshi zama zimebadilika kama hali inaruhusu unamfunza kumiliki biashara kidogo kidogo so akiwa na vyeti pamoja na ujuzi hawezi kuwa tegemezi.
Wasomee kile watakachokuja kufanya ukubwani.Wakati wa likizo au weekend unakuwa nao field mfano garage,dukani, kwenye ujenzi,uvuvi, mifugo, shambani,mgodini,sokoni,nk.
So hata asipoajiriwa tayari anayo nguzo ya maisha.Na sio amalize masters kisha aanze kuendesha bodaboda.
 
True Elimu pekee haitoshi zama zimebadilika kama hali inaruhusu unamfunza kumiliki biashara kidogo kidogo so akiwa na vyeti pamoja na ujuzi hawezi kuwa tegemezi.
Wasomee kile watakachokuja kufanya ukubwani.Wakati wa likizo au weekend unakuwa nao field mfano garage,dukani, kwenye ujenzi,uvuvi, mifugo, shambani,mgodini,sokoni,nk.
So hata asipoajiriwa tayari anayo nguzo ya maisha.Na sio amalize masters kisha aanze kuendesha bodaboda.
kikoozi bado hujachelewa. Achana na hizo hela za mzee wako. Badala yake tafuta mali za kwako, na pia wekeza kwenye elimu ya watoto wako, huku ukiwazoesha kutafuta kwa jasho tangu wakiwa wadogo. Achana kabisa na hii tabia ya kizamani ya kutegemea mali za urithi.

Baba ya yako kama angekuona una upeo mkubwa, angekukabidhi hata milioni 100 tu za kuzungushia na baadaye kumrejeshea! Ila ndiyo hivyo tena! Amekugundua wewe ni mtu wa anasa tu na usiyejua kutafuta cha kwako.
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Wewe ni mbwa kasoro mkia miaka 41 unajiita kijana wakati ulitakiwa uwe na familia yako na unamsaidia baba yako!!! Ndiyo ninyi mnaowauwa wazazi wenu ili mchukue mali zao baba yako kakulea na labda kakupeleka na shule lakini huna shukrani mimacho yote umeangalia mali ya baba yako kama ulichangia hata mfuko wa cement mpeleke mahakamani uone utakavyokufa kifo kisichojulikana . Unapata wapi ujasiri wa kumfikiria baba yako vibaya ninaandika kwa hasira kali kwa sababu aliibuka mpumbavu kama wewe kwangu nikamnyoosha ingiza timu uone. HATI IMEANDIKWA JINA LA BABA YAKO MAANA YAKE MMILIKI NI YEYE WEWE UMETOKA WAPI MPAKA UDAI MALI YA MTU MWINGINE? TAFUTA VYAKO.
 
Wazazi wengine wanakera bwana....sasa wee umenizaa kwa kutaka raha yako ya maisha leo hutaki na mie nifurahie maisha basi bora nikudedishe tuu.
NINGEKUWA BABA YAKO MIMI SASA HIVI UNGEKUWA KABURINI AKILI KAMA ZAKO MPO WENGI NA JIBU NI MOJA TU KUZIMU. BABA YAKO SIYO ATM YAKO TAFUTA ZAKO
 
NINGEKUWA BABA YAKO MIMI SASA HIVI UNGEKUWA KABURINI AKILI KAMA ZAKO MPO WENGI NA JIBU NI MOJA TU KUZIMU. BABA YAKO SIYO ATM YAKO TAFUTA ZAKO
Safi na mie ndio maana nasema wababa ambao wanakuwa na misemo ya kijinga kama yako ya kusema katafute zako nao wanatakiwa kudedishwa tuu.
Sasa usipo mpa mtoto wako utampa nani? Roho mbaya hizo.
 
Safi na mie ndio maana nasema wababa ambao wanakuwa na misemo ya kijinga kama yako ya kusema katafute zako nao wanatakiwa kudedishwa tuu.
Sasa usipo mpa mtoto wako utampa nani? Roho mbaya hizo.
YEYE BABA YAKO ALIPEWA NA NANI? TUANZIE HAPO KWANZA
 
Tafuta ya kwako uuze vyamzazi wako vitakuwa vyakwako pale atakapofariki.
 
YEYE BABA YAKO ALIPEWA NA NANI? TUANZIE HAPO KWANZA
Hilo mie halinihusu kinachonihusu mie ni kwamba yeye ni baba yangu na hivyo pale ambapo ninapitia magumu na yeye yupo katika financial position ya kunisaidia lakini akauchuna basi ni dhahiri hana upendo juu yangu sasa kama hana upendo kinachonakia hapo nikumtoa uhai tuu. Liwalo na liwe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Komaa akupe bwana, ni jukumu la mzazi kuhakikisha mtoto anapata urithi.
 
Mungu atusaidie kwa kweli. 41years still unajiita kijana? Je hyo nyumba mlijenga na mzee wako??
 
Baba yake keshagundua akimpa zitaishia kwenye anasa.
 
Ukitaka wazazi wakutoe au kukufagilia kwanza kuwa na nidhamu, alafu kuwasaidia kazi za nyumbani, utakuta mtu yupo home kakosa kazi Hana msaada Wala Nini, pesa huna, hata kufyeka majani hushindwe, Sasa hivi Kuna shida ya maji huendi kuchota unalala ndani tu,
Au mzee wako umri umeenda unashindwa kumfulia nguo zake unategemea wakutoe kwel.?
 
Ushasema yake,hilo ni jibu tosha sana ya yeye kufanya atakalo,
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Mwaka jana Machi 2021 ulikuwa na miaka 39, leo una miaka 41

Mwaka jana ulikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa, mwaka huu wewe ni wa kwanza kuzaliwa.

1641382078308.png
 
True Elimu pekee haitoshi zama zimebadilika kama hali inaruhusu unamfunza kumiliki biashara kidogo kidogo so akiwa na vyeti pamoja na ujuzi hawezi kuwa tegemezi.
Wasomee kile watakachokuja kufanya ukubwani.Wakati wa likizo au weekend unakuwa nao field mfano garage,dukani, kwenye ujenzi,uvuvi, mifugo, shambani,mgodini,sokoni,nk.
So hata asipoajiriwa tayari anayo nguzo ya maisha.Na sio amalize masters kisha aanze kuendesha bodaboda.
Mkuu Kalunya; Sijasikia upande wa mchango wa mama. Mfano: Wapo baadhi ya wamama wanawaghilibu au wanapandikiza roho ya chuki kwa watoto wao ili waone na kuamini kwamba Baba ni Mkorofi -mathalani Wapo baadhi ya wamama wanathubutu kuwatamkia watoto wao esp. wa-kiume kwamba "Baba yenu huyo we acha tu; nisingesimama kidete sijui nyie leo ingekuwaje, huyo ni baba jina tuu."
Pole mkuu, ila bora usingeandika umri wako
Ni vizuri; amekuwa muwazi.
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Ukala 270 kujipongeza, thn unataka na pesa ya mzee?
 
Back
Top Bottom