Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Kwa mantiki hiyo Jamaa anaona mzee hafi upesi, na kwa hiyo anataka amuwahishe mzee(Amuue) ili apate huo uhalali wa kudai urithi.
Very lunatic guy.
Na asichojua ni kwamba kisheria ukisababisha kifo cha mzazi kwa makusudi au kwa kumtomjali unaweza kunyimwa urithi yaani baba yako anaumwa, halafu ukaamua kumuacha ndani bila matibabu ili afe, imekula kwako.
 
We have an intention for murder right here
Utamuua mzee huyo kwa hiyo akili uliyonayo
 
NAposema kwamba baba mzazi amsaidie kifedha pia busara itumike...lazima mtoto nae aonyeshe nini anataka kufanya but u dnt outright abandon ur child!
A useless stupid child?. Over my dead body. Just imagine, the first thing That old boy is thinking of is on how to get the money from his father; and the plan is to kill his poor father!
Mr. Mzabzab try to put yourself on the position of the Father; And here is an Old boy (ur Child) you raised from fetus stage(Pregnancy) up to 41 yrs old and now he is sitting there planning on how to cut ur throat. He has the energy to end up your life just like that but not energy to toil and find his own money.
I think he is a CURSE.
 
A useless stupid child?. Over my dead body. Just imagine, the first thing That old boy is thinking of is on how to get the money from his father; and the plan is to kill his poor father!
Mr. Mzabzab try to put yourself on the position of the Father; And here is an Old boy (ur Child) you raised from fetus stage(Pregnancy) up to 41 yrs old and now he is sitting there planning on how to cut ur throat. He has the energy to end up your life just like that but not energy to toil and find his own money.
I think he is a CURSE.
Wee bwana huyu jamaa hajasema anataka kumuua baba yake.
Na mpaka mtoto wako anafikia hapo ujue kuwa kama mzazi una continuting factor pia kwa mtoto wako kutokifanikiwa. So u cant squarely put the blame on the child alone.
 
It is the sile reaponsibility of the parent to ensure kuwa mtoto anajitegemea. Listen as humans we plan and in planning u shuld always hope for the best and prepare for the worse. Kuna wazazi wengintuu watotot wao wamewasomesha lakini mpaka leo wapo majumbani. It is not to thier liking hao watoto kuwepo hapa but ndio wat we call life.

Now in time of need a parent should not abadon their child instead parent should offer moral support and kama kweli upo finacially able u shuld help ur child out if need be. Mtoto mwenyewe akiona kwamba mzazi anaonyesha genuine comcern kuhusuana na situation yake ata appreciate. Any parent ambaye ana uwezo but ana mu abadon mtoto wake yeye mwenyewe, huyo ni pure evil and deserves to die in my opinnion.
You and your opinion your more evil than the parent you are pointing, no one deserve to die no matter what. Wewe naye utakuwa na akili kama za huyo mjinga hapo juu, miaka 41 bado unalilia kugawiwa hela kwa kuwa babako ameuza nyumba.
Alafu bila aibu anasema alikuwa na laki na Sabini kaamua kufanya sherehe kisa baba kauza nyumba, akitarajia mgao. Miaka arobaini na moja ni kama siku 14elfu+++, huyu mzee alikuwa anamhudia yeye. Tu asume gharama za maisha yake ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, matibabu, nauli ya kwenda shule nk, tufanye kwa kiwango cha chini ni elfu 7 na Mia 5, ukizidisha miaka 41*siku 365 unapata kama siku 14= 14965, ulichukuwa 14965*7500 kima cha chini cha matumizi kila siku ni sawa na 112,237,500 hebu amrudishie kwanza huyo mzee wake hicho kiasi ndo aamue kumdai. Mzee kugawiwa ni hiari yake na uliona mzee ameamua kufanya hivo alishaona huyu ni mpumbavu, hana mwelekeo, hivo kama na wewe una hayo mawazo ya kusubiri mgao kwa mzee wako anza kufanya kazi, mzee wako ana haki ya kurithisha mali zake kwa mskiti au kanisa, au hata kurithisha paka wake kipenzi na kukuacha wewe unayejiita mwanae wa kuzaa. Tengeza mazingira ya kuaminiwa na babako Ingali mapema.
It is the sile reaponsibility of the parent to ensure kuwa mtoto anajitegemea. Listen as humans we plan and in planning u shuld always hope for the best and prepare for the worse. Kuna wazazi wengintuu watotot wao wamewasomesha lakini mpaka leo wapo majumbani. It is not to thier liking hao watoto kuwepo hapa but ndio wat we call life.

Now in time of need a parent should not abadon their child instead parent should offer moral support and kama kweli upo finacially able u shuld help ur child out if need be. Mtoto mwenyewe akiona kwamba mzazi anaonyesha genuine comcern kuhusuana na situation yake ata appreciate. Any parent ambaye ana uwezo but ana mu abadon mtoto wake yeye mwenyewe, huyo ni pure evil and deserves to die in my opinnion.
 
Wengi humu ni mananga wa masuala ya sheria ndio maana mnakomenti utumbo.
Huyo mzee hana haki ya kutoroka na fedha zote huku ana watoto( familia).
Pia kijana miaka 41 unataka ukaanze maisha!!!!
Huruma sana.
Ushauri: Mwache aondoke nazo, ndizi zitakazomuua haraka wewe pambana. Ingawa ukionda court utapata chochote kitu
 
You and your opinion your more evil than the parent you are pointing, no one deserve to die no matter what. Wewe naye utakuwa na akili kama za huyo mjinga hapo juu, miaka 41 bado unalilia kugawiwa hela kwa kuwa babako ameuza nyumba.
Alafu bila aibu anasema alikuwa na laki na Sabini kaamua kufanya sherehe kisa baba kauza nyumba, akitarajia mgao. Miaka arobaini na moja ni kama siku 14elfu+++, huyu mzee alikuwa anamhudia yeye. Tu asume gharama za maisha yake ya kila siku kuanzia kula, kuvaa, matibabu, nauli ya kwenda shule nk, tufanye kwa kiwango cha chini ni elfu 7 na Mia 5, ukizidisha miaka 41*siku 365 unapata kama siku 14= 14965, ulichukuwa 14965*7500 kima cha chini cha matumizi kila siku ni sawa na 112,237,500 hebu amrudishie kwanza huyo mzee wake hicho kiasi ndo aamue kumdai. Mzee kugawiwa ni hiari yake na uliona mzee ameamua kufanya hivo alishaona huyu ni mpumbavu, hana mwelekeo, hivo kama na wewe una hayo mawazo ya kusubiri mgao kwa mzee wako anza kufanya kazi, mzee wako ana haki ya kurithisha mali zake kwa mskiti au kanisa, au hata kurithisha paka wake kipenzi na kukuacha wewe unayejiita mwanae wa kuzaa. Tengeza mazingira ya kuaminiwa na babako Ingali mapema.

ah wewe hu ni wajibu wake kama mzazi kumlea mtoto usianze kuleta hizo expenses into the equation. kwani unapoleta mtoto hujui kuwa jukumu lako kama mzazi ni kuhudumia huyo mtoto?
kufika mpka miaka 41 bado yupo nyumbani kuna factors nyingi lakini from experience pia mzazi mara nyingi anakuwa pia amechangia kwa hilo kutokea in one way or another.
mwanao kutarajia urithi kutoka kwako ni haki yake. huwezi kuwa na akili mbovu kama mzazi eti ukagawie msikiti au kanisa ukamuacha mtoto wako. charity always starts at home. hata iyo imani yako itakuwa na mashaka kama unaweza kuwasaidia watu baki wakati wanaokuhusu unashindwa , wewe ni worse off than yule ambaye hana ata imani ya dini.
 
Mwenzenu kapewa chake ukooo....anatafuta nissan dualis...hehehehehe jamaa 41 yrs ya bure
 
ah wewe hu ni wajibu wake kama mzazi kumlea mtoto usianze kuleta hizo expenses into the equation. kwani unapoleta mtoto hujui kuwa jukumu lako kama mzazi ni kuhudumia huyo mtoto?
kufika mpka miaka 41 bado yupo nyumbani kuna factors nyingi lakini from experience pia mzazi mara nyingi anakuwa pia amechangia kwa hilo kutokea in one way or another.
mwanao kutarajia urithi kutoka kwako ni haki yake. huwezi kuwa na akili mbovu kama mzazi eti ukagawie msikiti au kanisa ukamuacha mtoto wako. charity always starts at home. hata iyo imani yako itakuwa na mashaka kama unaweza kuwasaidia watu baki wakati wanaokuhusu unashindwa , wewe ni worse off than yule ambaye hana ata imani ya dini.
Crap

Mwanaume akishafika 18 to 21 lazima aondoke
 
Uondokenuende wapi tena wakati hapo ndio home
Ukatafute maisha yako

Kwani baba yako angekaa Kwa baba yake ingekuaje

Mbona unaongea kama taahira ?

That is your parents home not yours
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Nyumba ya baba yako, unataka akugawie kidogo? Hata kama ni mtoto wa kwanza au kitinda mimba huna haki. ile ilikuwa ni mali yake, au ulichangia kujenga? mheshimiwa tafuta mali yako kuliko kupoteza muda kwenda mahakamani au kwa wazee! 😎
 
Hii dunia ina mataahira wengi sana na hawatakaa waishe
Yaan babako kauza nyumba yake wewe unataka mgao? Ni ya kwako? Ulimsaidia kujenga?
Acha upumbavu urithi pekee mtoto anapaswa kupata kwa mzazi ni elimu tu mengine unajitafutia mwenyewe
Je asingekuwa na hiyo nyumba? Acha utaahira mbwa wewe
Fedha na Mali kijana hurithi kutoka kwa baba yake.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.

Miaka 42 mkuu? Na unawaza Kibunda cha Mzee? Tutafute pesa za tu wenyewe we unalilia vipi pesa ya Mzee wako na hajafa aisee unataka laana? Nani alikwambia iyo mali ya Mzee wako ni yako? Nimesikitika sana aise
 
Back
Top Bottom