Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi kupika ni hadi niwe na mood, nikiwa na mood kwakweli napika vitu vya kueleweka hata chapati inakua mashaalah ila nikiwa sijisikii chapati huwa natoa mkate wa yesu inavunjika kama kuni bro.Mabro ni kusapotiana kwa kila hali kama hivi
Mara kwa mara uingie jikoni kama Kila siku haiwezekani.Kila siku haiwezekani 😥
Mgumuu anajifanya Dr. Mariposa
Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Sijui kwa nini nimecheka pacha. Lol.Kwani mimi nipo mkoa gani twinnie 😂
Nilikuwa sijui najua apendi wanaume anasema wanaume wote mbwaaHuyo uliyemtaja si inasemekana ni msagaji 😭😭😭😂😂
Unaweza kuifinyia kwa ndaaani.... Jua kupika wewe😌Achana nao bana kupika inatakiwa uwe kitu ni passion kama hauna hata ufanyeje utakua unaboronga tu
Sorry just joking tuSasa mimi lini nimesema sipendi wanaume? Ama lini nimesema wanaume ni mbwa hadi unifananishe nae?
Sema inawezekana ulijifunzia youtube. Kuna kipindi nilikuwa refa mzuri tu (mechi za mtaani) nilijifunzia youtube, tangu nimeacha sikumbuki hata katika zile sheria kumi na saba za soka sheria ya kwanza ni ipi.Loh!!