Msaada, dawa ya mwanamke mpenda kununanuna bila sababu za msingi

Msaada, dawa ya mwanamke mpenda kununanuna bila sababu za msingi

kindude

Member
Joined
Dec 12, 2023
Posts
64
Reaction score
153
I hope jumapili iko poa kwenu nyote, Kwangu haiku poa kabisa, nina mwanamke naishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu, yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea.

Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu
 
I hope jumapili iko poa kwenu nyote,Kwangu haiku poa kabisa, nna mwanamke nnaishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu,yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea, Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu
Ilo tatizo kubwa, changamoto hapo ni utoto. Lakini jifunze kumbembeleza mkeo na muda mwingine si Kila kitu umkatalie. Tunafundishwa kuishi nao Kwa akili, sasa yeye asiwe akili/kichwa chako
 
I hope jumapili iko poa kwenu nyote,Kwangu haiku poa kabisa, nna mwanamke nnaishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu,yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea, Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu
dog style ndo suluhisho make sure you satisfy her, ukimaliza alale usingizi na sio anatoka hapo na kuendelea na activities zingine🤣🙌🙌
 
Siku akinuna Tena mbembeleze peleka 6x6 ,pga kazi kwelikweli Hadi awe anapumua kwa nguvu Kama anataka kukata roho ,mwambie pole hatarudiaga tena.hii ni dawa
 
Back
Top Bottom