Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Dawa ni moja tu mpige show ya kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani nikifa niende firdaus au jannat NajimSikuizi kuna Zara [emoji1787][emoji1787]vya manyoya hawavai
😂Mvizie halafu mtekenye kisawasawa...utakuja kunishukuru
Kwa nn?Nilikuwa natafuta hii comment
Heading tu huyo ni mimi 😅😅😅I hope jumapili iko poa kwenu nyote, Kwangu haiku poa kabisa, nina mwanamke naishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu, yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea.
Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu