Ilo tatizo kubwa, changamoto hapo ni utoto. Lakini jifunze kumbembeleza mkeo na muda mwingine si Kila kitu umkatalie. Tunafundishwa kuishi nao Kwa akili, sasa yeye asiwe akili/kichwa chakoI hope jumapili iko poa kwenu nyote,Kwangu haiku poa kabisa, nna mwanamke nnaishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu,yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea, Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu
Wewe umeacha wangap mpaka Leo? Kuachana ni sululisho ya migogoro kwenye ndoa? Kwenye familia Yako wazazi walikua hawakwazani, na je waliachana.Kuachana mkuu
Usipende kukaa na mtu anayekufanya ukose amani ya moyo kwa muda mrefu.
La sivyo mbebe pamoja na mapungufu yake maisha yaendelee
Umesoma mwandiko wangu wote?Wewe umeacha wangap mpaka Leo? Kuachana ni sululisho ya migogoro kwenye ndoa? Kwenye familia Yako wazazi walikua hawakwazani, na je waliachana.
Usipotoshe
dog style ndo suluhisho make sure you satisfy her, ukimaliza alale usingizi na sio anatoka hapo na kuendelea na activities zingine🤣🙌🙌I hope jumapili iko poa kwenu nyote,Kwangu haiku poa kabisa, nna mwanamke nnaishi nae na tumebarikiwa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili, tatizo ni huyu mwanamke wangu,yaani anapenda kununa kuliko kula, yaani ukimkosoa kitu ambacho ni kweli anakua kakosea basi hapo ni kununa kuanzia siku tatu na kuendelea, Hali hii imenichosha naombeni msaada, inawezekana kulikua na kikao sikuhudhulia ambacho kilitoa solution ya hili, ni ubize tu
Vipi kuhusu mleta mada kama analeta kerooo 🤭 zinazopelekea kuleta mnunoKuachana mkuu
Usipende kukaa na mtu anayekufanya ukose amani ya moyo kwa muda mrefu.
La sivyo mbebe pamoja na mapungufu yake maisha yaendelee
Kwa kwel kuachana ni suluhisho bora kabisa,maana hatutakiw kuchoshana kwa vitu vya kijinga kijinga wakat kuna mambo makubwa kama upungufu wa arv's mwezi mayUmesoma mwandiko wangu wote?
Au Unanitafuta maneno mkuu?
Sikuizi kuna Zara 🤣🤣vya manyoya hawavaiAna umri gani na je ulimkuta akivaa viatu vya manyoya wakati una mchumbia! Kama jibu ndio mrudishe kwao!