Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Tz tunanunua plate number [emoji848]Hapa unapigwa hii gari ukipigwa sana ni m5 kwa hiyo 9 unapata new model yake namba D kabisa iliyonyoka unanunuaje gari namba C
Premio liold model kabisa hilo 9M? kakuonaje huyo muuzaji! Aisee hapana kabisaa hata kama bado iko katika hali nzuri top 4M-5M na si zaid ya hapoNataka kununua hii gari jamaa kaniambia milioni 9...alianza na 11 tukashuka hadi 9...je hiyo Bei ni Sawa kulingana na Hali ya gari ilivyo? Naomba saada wakuuView attachment 2719568View attachment 2719566View attachment 2719567View attachment 2719569View attachment 2719570
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa mtanzania mwenzanguHali ya gari tutawezaje kujijua kwa kuangalia licha ya nyuma ya gari? Au hali ya gari unaitazama kwa usajili? 9m sio tatizo je? Hiyo gari inaukamilifu ndani? Kuna mambo mengi sana ya kuzingatia kwenye gari cha msingi tafuta mjuzi wa magari kalicheki ukiridhika chukua
Sawa kiongozi nimekuelewa sanaPremio liold model kabisa hilo 9M? kakuonaje huyo muuzaji! aisee hapana kabisaa hata kama bado iko katika hali nzuri top 4M-5M na si zaid ya hapo
Sasa wewe unataka ushauri gari umepiga picha bodi!.Nataka kununua hii gari jamaa kaniambia milioni 9...alianza na 11 tukashuka hadi 9...je hiyo Bei ni Sawa kulingana na Hali ya gari ilivyo? Naomba saada wakuuView attachment 2719568View attachment 2719566View attachment 2719567View attachment 2719569View attachment 2719570
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu ni kusaidiana namimi nataka nimiliki kijambio jamaniKama ni manual mpe 6M kama ni auto mpe 5M inatosha.
Kuna harufu ya kutangaza bihashara hapa
Unapigwa... hiyo gari ukipigwa saaana milioni 6....Nataka kununua hii gari jamaa kaniambia milioni 9...alianza na 11 tukashuka hadi 9...je hiyo Bei ni Sawa kulingana na Hali ya gari ilivyo? Naomba saada wakuuView attachment 2719568View attachment 2719566View attachment 2719567View attachment 2719569View attachment 2719570
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
We unaona inafaa sh ngap?Old model,namba c,kwa 9 kweli?
Okay kiongoziHapa unapigwa hii gari ukipigwa sana ni m5 kwa hiyo 9 unapata new model yake namba D kabisa iliyonyoka unanunuaje gari namba C
Wewe hiyo gari unaweza kumlipa m9 sema ukweli wakoHivi Tz tunanunua plate number [emoji848]