Msaada: Gari hii ya milioni 9 inafaa? Nipeni uzoefu nisije nikapigwa

Msaada: Gari hii ya milioni 9 inafaa? Nipeni uzoefu nisije nikapigwa

Hapa unapigwa hii gari ukipigwa sana ni m5 kwa hiyo 9 unapata new model yake namba D kabisa iliyonyoka unanunuaje gari namba C
Duh mbona namba sio kitu ya kuzingatia sana kuna namba D na zimechoka hazifai
 
Mtu mwenyewe ana deni la trafiki hajalipa alikua anabadirisha oil kweli uyo?
1000113017.png
 
Back
Top Bottom