ferg
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 1,327
- 1,800
Model ya zamani sana, ilishapitwa sana na wakati.Nataka kununua hii gari jamaa kaniambia milioni 9...alianza na 11 tukashuka hadi 9...je hiyo Bei ni Sawa kulingana na Hali ya gari ilivyo? Naomba saada wakuuView attachment 2719611View attachment 2719612View attachment 2719613
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app