Msaada: Gari hii ya milioni 9 inafaa? Nipeni uzoefu nisije nikapigwa

Hahahhahaha hii mpaka madem wa jf wasiojua magari wanasema haizidi 5m sasa sijui unakwama wapi. Hio 9M ni bora ununue IST yenye teknolojia mpya zaidi na ya kisasa kuliko hilo ligari la 5A engine
 
Na wewe Mfano wako noma😳😳
W
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…