Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Sijasema hivyo au kupinga Ila nimeuliza tu Mfano gari ikiwa katika Hali nzuri basi huwezi nunu kisa plate ni D ??Wewe hiyo gari unaweza kumlipa m9 sema ukweli wako
Nyie si mna Dipii Wedi so hamuwazi!Ukitaka kushauriwa kwenye kila jambo lako utachelewa sana.
Gari sio registration number bro. Unaweza kuuziwa hiyo D ikawa chafu kuliko A. Msipende kukariri.Hapa unapigwa hii gari ukipigwa sana ni m5 kwa hiyo 9 unapata new model yake namba D kabisa iliyonyoka unanunuaje gari namba C
Duh mbona namba sio kitu ya kuzingatia sana kuna namba D na zimechoka hazifaiHapa unapigwa hii gari ukipigwa sana ni m5 kwa hiyo 9 unapata new model yake namba D kabisa iliyonyoka unanunuaje gari namba C
Kuna kitu watu hawajui. Ila wapigwe kwanza ndipo wajifunzeGari sio registration number bro. Unaweza kuuziwa hiyo D ikawa chafu kuliko A. Msipende kukariri.
Tano au sita tu
Nimpe ngapi jamaangu9 mil? duh parefu sana mwana.