profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Duh!Bomoa dirisha la gari mkuu...easy!
Naa buti ipo locked πKapandisha vyoo vyote, pole sana!
π₯΄Duh!
Jibu hilo hapo umepewa ukishindwa na hili basi vunja kioo cha mbele tu hakuna namna fundi atakuja kuweka kioo kingineFungua nyuma ya buti.kuna sehem unaweza kufungua mlango.
Vunja kiooNaa buti ipo locked π
Waliolewa au walioolewa?Mimi kama mimi sijakuelewa,, anyway fuata maelekezo uliyopewa na walioelewa
Wewe utakua upo sahihi piaChukua zle tape kubwa za kufungia mabox...nendaa kwa kioo chochote cha cha mlango natisha kama 6 alafu shika kwa nguv zle tape lazma kioo kishuke ....
Mbinu ingne hii siijui if ina work niliona tu huko dunian unashka kitasa cha mlango azia wa kushoto mbele vuta mara3 unaachia...unarud wa nyuma mara3 ..zunguka mwngne mara3 malizia wa dereva mara2 au 3...chek
Wewe jamaa inaonekana ndoa ishatawala akili yako saiz ππWaliolewa au walioolewa?
Emu tungumzie kioo ndoa twende tukazungimzie kuleWewe jamaa inaonekana ndoa ishatawala akili yako saiz ππ
nimecheka jamani πππππNinajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii