To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Mnyooshe mkuuNinajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mnyooshe mkuuNinajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
Mimi sijamuelewa...endeleeni kumpa maujuzi..Emu tungumzie kioo ndoa twende tukazungimzie kule
Mwambie apake mate kwenye kioo Mara 6 alafu ashushe kioo chini kwa nguvu kitashukaMimi sijamuelewa...endeleeni kumpa maujuzi..
Hii video inaweza kukupa mwangaza wa nini cha kufanya.jamaa kafungia ufunguo ndani ya gari na ka lock milango,na kapandisha vyoo vyote,gari ni runx,msaada tafadhali kwamafundi na wazoefu,afanyeje jamaa..
Wewe sema tuSimple sana sema njia nayotumia siyo nzuri nitakuwa nafundisha wizi wa magari au vitu ndani ya magari
Kwanza mhusika yupo nje ya gari au ndani 😌😌Mwambie apake mate kwenye kioo Mara 6 alafu ashushe kioo chini kwa nguvu kitashuka
Rahisi sana hyo, ilishanikuta kwenye toyota Alle, nilichofanya ni kutafuta funguo za gari inayofanana vitasa na gari yangu baaass,mm nili tafuta funguo ya toyota ist nikachekecha ikakubali, yaani hapo ukipata funguo ya ist, spacio, primio n.k unafungua mlango bila shida yoyote ile ila kwa kuchekecha sijui unanielewa nikisema kuchekecha.jamaa kafungia ufunguo ndani ya gari na ka lock milango,na kapandisha vyoo vyote,gari ni runx,msaada tafadhali kwamafundi na wazoefu,afanyeje jamaa..
Mwambie yupe nje ya Gari angekua ndani angekosa hewa sasa hivi kashakata pumzi maana mule dakika 10 nyingi ubongo ukikosa hewa kwaheriKwanza mhusika yupo nje ya gari au ndani 😌😌
Nimecheka ila msaidie tu kuanzia sasa ataacha kushabikia wizi wa rasilimali za taifa.Ninajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
Kitakua kitasahicho anacho kiminya minya kinini mkuu?
Mbaya zaidi hizi gari zikilock hata ukipenyeza kitu utoe lock kwa master lock huwa haifanyi kazi maana nilifanya hvyo nikafeli ndio maana nikaamua kutafuta funguo.Rahisi sana hyo, ilishanikuta kwenye toyota Alle, nilichofanya ni kutafuta funguo za gari inayofanana vitasa na gari yangu baaass,mm nili tafuta funguo ya toyota ist nikachekecha ikakubali, yaani hapo ukipata funguo ya ist, spacio, primio n.k unafungua mlango bila shida yoyote ile ila kwa kuchekecha sijui unanielewa nikisema kuchekecha.
Hizi gari ambazo vitasa vinafanana funguo huingiliana sana ila sio kuwasha gari (unaqeza kufungua mlango lakini sio kuwasha gari). Haina hata haja kuvunja kioo, utajitia hasara bure tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
buti limefungwa kwa senta lock mkuuFungua nyuma ya buti.kuna sehem unaweza kufungua mlango.
Umepeleka wapi gari lako dada mpaka usimuelewe mtoa mada 😂😂Mimi kama mimi sijakuelewa,, anyway fuata maelekezo uliyopewa na walioelewa
......😀😀 daah! jf kiboko!!! yupo nje huyo, ndani hutumii funguo, una gari kweli bibie!.....Kwanza mhusika yupo nje ya gari au ndani 😌😌