profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
- Thread starter
- #41
mkuu mimi sisapoti dp,tafadhali msaada mkuu,sisi wamoja..Ninajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mimi sisapoti dp,tafadhali msaada mkuu,sisi wamoja..Ninajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
.......😀😀😀kweli watu mpo serious na hili swala, kumbe unaweza kosa msaada kisa dpw!!.....Ninajua namna ila kwa kuwa unasapoti dp world sikuwambii
hapo sawa😌😌Mwambie yupe nje ya Gari angekua ndani angekosa hewa sasa hivi kashakata pumzi maana mule dakika 10 nyingi ubongo ukikosa hewa kwaheri
Sijawahi miliki hata baiskeli,, unazani nitaelewa kweli hapo😃😃😃Umepeleka wapi gari lako dada mpaka usimuelewe mtoa mada 😂😂
Sina hata baiskeli rafiki yangu 😃😃😃......😀😀 daah! jf kiboko!!! yupo nje huyo, ndani hutumii funguo, una gari kweli bibie!.....
Hapo mwambie agusanishe waya vizuri hizo asije akachoma Gari awe makini sanaamefanikiwa kufungua bonet ya mbele,kachezesha betri terminal lakini wapi,milangoni kuna window shield kwa ju,bado tunahitaji ushauri wakuu..
Emu fungua Piem kwanza nikunongoneze kituSijawahi miliki hata baiskeli,, unazani nitaelewa kweli hapo😃😃😃
buti limefungwa kwa centre lock mkuuFungua nyuma ya buti.kuna sehem unaweza kufungua mlango.
msaada mkuu,tafadhali tumekwama,ila boneti ya mbele tumefanikiwa kufungua mkuu...Simple sana sema njia nayotumia siyo nzuri nitakuwa nafundisha wizi wa magari au vitu ndani ya magari
Niambie tu hapahapa rafiki yangu,, hawatasikia😃😃Emu fungua Piem kwanza nikunongoneze kitu
agusanishe nyaya?si atasababisha shoti kiongozi?Hapo mwambie agusanishe waya vizuri hizo asije akachoma Gari awe makini sana
bado kiongoziUshaweza kufungua?
Wewe nimekosea kuandika asigusanishe nyanya atachoma Gariagusanishe nyaya?si atasababisha shoti kiongozi?
Ndio tena kabisaa unamsaidiaje mwana ccm ambae akiingia madarakani anakuteka na kukupiga risasi? Bungeni wanapiga kura za ndioooo kama mataahira?.......😀😀😀kweli watu mpo serious na hili swala, kumbe unaweza kosa msaada kisa dpw!!.....