Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Sawa subiri hapo hapobado kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa subiri hapo hapobado kiongozi
Nyanya zinachoma gari? Labda za ccm!Wewe nimekosea kuandika asigusanishe nyanya atachoma Gari
We jamaa umeelewa topic vizuri lakini? Tupo kwenye mazoezi kwa vitendo ya kufungua gari lililojilock na funguo ndani kwa hia tulia kidogo emu nipishe kidogoNdio tena kabisaa unamsaidiaje mwana ccm ambae akiingia madarakani anakuteka na kukupiga risasi? Bungeni wanapiga kura za ndioooo kama mataahira?
Tulia we nyanya unataka nini hapaNyanya zinachoma gari? Labda za ccm!
We jamaa umeelewa topic vizuri lakini? Tupo kwenye mazoezi kwa vitendo ya kufungua gari lililojilock na funguo ndani kwa hia tulia kidogo emu nipishe kidogo
Uzi sio wakwako mbona xkuma inakuwasha?Tulia we nyanya unataka nini hapa
Tulia wewe nyanya tunategea gari limenasa lock tulia ntakumwagia oil unajua mafundi tupo kaziniWewe una uhusiano gani na huu uzi? Ukiacha kuwa mchangiaji popoma?
We zuwena naona sasa umeanza kugombana na tajiri wa minazi mwenye Pesa ya madafu utakimbia uzi huuUzi sio wakwako mbona xkuma inakuwasha?
Kwa sisi wa buti za umeme inakuwaje. Maana switch ni ya umemeFungua nyuma ya buti.kuna sehem unaweza kufungua mlango.
eKwa sisi wa buti za umeme inakuwaje. Maana switch ni ya umeme
Hata mimi gari niliyonayo mlango wa dereva hauwezi ku lock bila kufunga na funguo.WaTz tuachane na haya magari ambayo unweza fungia fungua ndani. Binafsi miki Kwa gari langu aliwezekani. Tuachane na haya magari wanayofungia Solex
duh,si itakuwa pigo kubwa kwa makampuni ya kurengeneza magari,maana ni mengi sana duniani,hata youtube wamejaa wazungu/wahindi nk waliosahau funguo ndani ya gari...WaTz tuachane na haya magari ambayo unweza fungia fungua ndani. Binafsi miki Kwa gari langu aliwezekani. Tuachane na haya magari wanayofungia Solex
ukisha chomoa funguo na kulock milango yote ukiwa ndani,fungua mlango wa dereva then lock kwa center lock,alafu wakati unafunga mlango wa dereva shikilia kitasa kwa kukivutia nje,kwa nje,alafu funga mlango,then achia kitasa,utakuwa umelock milango yote pamoja na wadereva bila kutumia funguo,mimi nimezoea hivyo,ndo maana nilisahau ufunguo ndani,na milango nikalock yote..Hata mimi gari niliyonayo mlango wa dereva hauwezi ku lock bila kufunga na funguo.
Milango mingine inaweza kujilock ila sio wa dereva.