funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Sijashauri urudiane nae ila ungejitahidi sana kumuondoa kwa njia za kidiplomasia mie yameshanikuta Kama hayo yako nilikuja kutoa milioni 40 kunusuru mjengo wanguNa hakuna mihemko Bali ndo ukweli SIWEZI ISHI NAYE....kwa hiyo huo ushauri wake Wa kurudiana afute kichwa.....