gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 668
- 898
Msaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na mm naweza kuja.Njoo Pm nikuelekeze upone vidonda vyako kirahisi ila kama unazitafuta hospitali wala usihangaike kuja PM baki huko huko unapotaka!
Vipi na mm naweza kuja pm.
Piga +255755440142Msaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani
Sehemu gani hapo garage mkuu?Pole sana
nenda kwa wakorea , kupona ni uhakika .
Mahali nilipoenda ni Ubungo garage ila ni miaka mingi imepita inawezekana wamehama pale .
Huko nilienda naona napewa dawa zilezile tu siponiMloganzila
Ukiwa unaenda ubungo kuna kituo kinaitwa garage ndo unashukia hapoSehemu gani hapo garage mkuu?
Kwani unajisikiaje mkuu ?Huko nilienda naona napewa dawa zilezile tu siponi
Pole mkuu.Msaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani
Nunua Heligo Kit and thank me laterMsaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani