Mtindi atapiga yoweeee... Ila maziwa FRESH Ni sana
Usikae na Njaa, usile vituvigumu, acha vinywaji vyenye gesi-soda na Rafiki zake.
Pendelea kunywa mtindi, asubuhi kunywa maji ya bamia(kata vipande vidogo vidogo vya bamia safi viloweke kwenye maji Usiku, asubuhi chuja na unywe.