Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

mkuuu tafazari nielekeze hospital uliyoenda
Pole sana kwa kuugulia na ulcers
Mimi na Mama yangu tuliponea hapo kwa wakorea Ubungo kituo cha garage .
Muda mrefu sana umepita takribani 10 .
Waweza tafuta hospital ya Aina hii ukapata Tiba zao .
All the best
 
Jamani tutafute hii hapa! Inapatikana Kwenye maduka ya dawa za asili ni ya kihindi,atakaeipata aje atupe mrejesho manaake baadhi ya mikoa haipo kabisa!
IMG_20220320_181405.jpg
 
Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Wapi hapo?km mnataka kumsaidia mtu ni bora kuweka info zote muhimu ili mtu afuatile but info nusu haimsadii mtu
 
Duh,upngo wake nn ss?
Yaani apone yeye,ubishe wewe?[emoji848]bongo noma
Linabishia hadi kupona kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi aseme yeye kilichoniponya
 
Back
Top Bottom