reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Binamu una ulcers tuwasiliane tafadhali mwehhilikua inaitwaje hosp
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu una ulcers tuwasiliane tafadhali mwehhilikua inaitwaje hosp
Maombi???Nilipona Kwa maombi .
Hayo majani yanapatikana sana,hasa wakati huu wa mvua.
Relax mama DeboMaombi???
Wewe ni muongo mkubwa!!
Kuna watu hawaamini Mungu anaponya daahRelax mama Debo
Binamu una ulcers tuwasiliane tafadhali mwehh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
mkuuu tafazari nielekeze hospital uliyoendaOoh thank you
Nishapona sasa niliviwahi
yuko wapi mkuuu tatizo linatesa sanaMuone DR. RAHABU RUBAGO akupe fiterawa kiboko ya matatizo
hospital gani mkuuuDear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Hospital ilikuwa ya wakoreahospital gani mkuuu
Pole sana kwa kuugulia na ulcersmkuuu tafazari nielekeze hospital uliyoenda
Inbox? Au?
Duh,uongo wake nn ss?Maombi???
Wewe ni muongo mkubwa!!
Wapi hapo?km mnataka kumsaidia mtu ni bora kuweka info zote muhimu ili mtu afuatile but info nusu haimsadii mtuDear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Hapo nilikuwa namjibu swali lakeWapi hapo?km mnataka kumsaidia mtu ni bora kuweka info zote muhimu ili mtu afuatile but info nusu haimsadii mtu
Inaweza kupelekea kupata concer ya utumbo na kufanyiwa upasuaji nk.
Kwa msaada zaidi wasiliana nasi Gombeyehealthcare kwa namba
+255 678 211 747
+255 733 482 038
Tunapatikana Dar es salaam ILALA.
Huyu boya anajitoa ufahamu tu.
Linabishia hadi kupona kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh,upngo wake nn ss?
Yaani apone yeye,ubishe wewe?[emoji848]bongo noma
Wasiliana nae kabisa kupitia hizi nambayuko wapi mkuuu tatizo linatesa sana